audacious
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 239
- 390
wakuu haya ni ya kweli yametokea leo asubuhi,
kuna rafiki yangu mmoja anampenda sana msichana mmoja hivi..na amekuwa akimueleza lakini yule mschana amekuwa akimkatalia na kusisitiza eti waendelee kuwa marafiki,wamekuwa marafiki kwa mwaka mmoja sasa.sasa leo asubihi mida ya saa3 akanipigia cmu kunieleza kilichomkuta kwakweli alikuwa amenyongonyea sana. nikamuliza tataizo nini? akasema leo alipoamka tu alikuta sms kutoka kwa huyo msichana akimueleza kuwa anampenda sana,waka chart kama dk10 then akashangaa anpigiwa cmu na huyo msichana anamwambia..john leo ni cku ya wajinga so nilikuwa nakutania...jamaa imemuuma sana anasema kamuharibia cku yake.so alinipigia cmu kuniomba ushauri kama alichokifanya huyu demu ni sahii au sio na achukue hatua gani juu ya hili swala coz limemuumiza sana.tusaidiane ktk ushauri wana jf.
kuna rafiki yangu mmoja anampenda sana msichana mmoja hivi..na amekuwa akimueleza lakini yule mschana amekuwa akimkatalia na kusisitiza eti waendelee kuwa marafiki,wamekuwa marafiki kwa mwaka mmoja sasa.sasa leo asubihi mida ya saa3 akanipigia cmu kunieleza kilichomkuta kwakweli alikuwa amenyongonyea sana. nikamuliza tataizo nini? akasema leo alipoamka tu alikuta sms kutoka kwa huyo msichana akimueleza kuwa anampenda sana,waka chart kama dk10 then akashangaa anpigiwa cmu na huyo msichana anamwambia..john leo ni cku ya wajinga so nilikuwa nakutania...jamaa imemuuma sana anasema kamuharibia cku yake.so alinipigia cmu kuniomba ushauri kama alichokifanya huyu demu ni sahii au sio na achukue hatua gani juu ya hili swala coz limemuumiza sana.tusaidiane ktk ushauri wana jf.