Hujaona kitu? Hebu acha masihara....sijaona kitu,
mimi naondoka nduki.
Yummy hili nalo neno! wana vituko hawa watu si kidogo, sijui anaandika maneno gani kwenye google ili apate hizo pics! kha! mtu mjanja hivi, nashanga kumsikia Kongosho anamuona babu! lolest! kwenye miti hakunaga wajenzi! kha!
Hamjammstukia Kongosho? Anakuwekeeni kauzibe kijanja. Leo ngoja niwawekeeni picha yangu na Kongosho tuliyopiga ufukweni Kigamboni mwaka 2008.
Baeleze baeleze bana..... ukaguzi wangu unaambatana na mazoezi makali.
Afu baada ya ukaguzi nikimwambia mtu aondoke ukaguzi umeisha huwa haamini, anataka akaguliwe tu..
hajui kuna wenzake wako kwenye foleni wanasubiri ukaguzi jamani jamani jamani
Na wengine wakiona wanachelewa kukaguliwa wanaamua wajikague wenyewe kama Yummy na charminglady walivyokuwa wanajikagua ...
Kwa hiyo unanipa kama hizi siyo cacico? Young_Master kwishney habarrrrr akebabu Asprin ishia hapohapo! Young_Master ana yaleeeee mambo ya vijana, ya kuniita baby na ma-thread ya lovie-dovieeee! we juzi nimekwambia hebu niite kama vijana wanavyoitanaga umeng'aa macho ka DHAIFU alivyoyatoa yake sasa hivi! ila nikimiss vya kibabu ni kwako tu! mwahhh babu Asprin
Hahahaha...twenzetu jukwaa la wakubwa kule, naona unantafutia BAN kijanja.Asprin we vipi, kwanini kuniwekea simba
niwekee ya kwako wewe na nani vile sijui.
Sasa mbona hujanigongea LIKE.
Sasa mbona hujanigongea LIKE.
Naona harusi yako na Kaizer ilifana kweli.
Nawaona na wapambe wenu cacico na Young_Master nao walitoka bomba mbaya. Ilikuwa mwaka gani vile?
Foosam, mtu mwenyewe asprin??
Na uzee huo itakuwa kama mmemteka na kumtupa msitu wa Mabwepande.
BTW, fivesamu inahusu??
Baada ya kupata tiba ya gfsonwin ODM sasa niko gado. Nimekubali kumbe kweli gfsonwin mwalimu. Kawachechetua hapa kina cacico, Kongosho, Yummy, charminglady, Bishanga, Erickb52, Mamndenyi, KARIA et el. Kiukweli tulikuwa na darasa la kiinglish. Na hivi ndivyo darasa letu lilikuwa mpaka nikakabiziwa setifiketi of english reading and writing in english limited.Karibu sana kwenye fivesome, sema unataka iwe lini?
Weye unauweza? Huu mdogo tu wa kutambua hiki ni nini umeshindwa?? FYI hao ni kitimoto wanakula!! Yummy bana, una mawazo ya mbaliiii. Haya ita kina cacico, BADILI TABIA, gfsonwin, Kongosho na charminglady waje wajaribu na wao.
Baada ya kupata tiba ya gfsonwin ODM sasa niko gado. Nimekubali kumbe kweli gfsonwin mwalimu. Kawachechetua hapa kina cacico, Kongosho, Yummy, charminglady, Bishanga, Erickb52, Mamndenyi, KARIA et el. Kiukweli tulikuwa na darasa la kiinglish. Na hivi ndivyo darasa letu lilikuwa mpaka nikakabiziwa setifiketi of english reading and writing in english limited.
Teacher: Ok class, lets show the principal & our guests how much
we've learnt so far this year! Lets do comparisons So I say small,
you say small, smaller, smallest..
[students nod]
Teacher: Big
Class:Big, Bigger, Biggest..
Teacher:clean..
Class:clean, cleaner, cleanest..
Teacher:tall .
Class:tall, taller, tallest .
Teacher[smiles]:very good!!
Class:very good, very gooder, very goodest..
Teacher:oh gosh..
Class: oh gosh, oh gosher, oh goshest!!!
Teacher:stop it now
Class:stop it now stop it nower stop it nowest!!
Teacher:oh please..
Class:oh please, oh pleaser O pleasest..
Teacher:Look at me..!!
Class:look at me, look at me-er, look at me-est..
Teacher:what a disgrace!
Class:what a disgrace, what a disgracer, what a disgrace-st
Mwisho wa darasa.....mapumzikoooooooo!!
Baada ya kupata tiba ya gfsonwin ODM sasa niko gado. Nimekubali kumbe kweli gfsonwin mwalimu. Kawachechetua hapa kina cacico, Kongosho, Yummy, charminglady, Bishanga, Erickb52, Mamndenyi, KARIA et el. Kiukweli tulikuwa na darasa la kiinglish. Na hivi ndivyo darasa letu lilikuwa mpaka nikakabiziwa setifiketi of english reading and writing in english limited.
Teacher: Ok class, let's show the principal & our guests how much
we've learnt so far this year! Let's do comparisons…So I say small,
you say small, smaller, smallest..
[students nod]
Teacher: Big
Class:"Big, Bigger, Biggest.."
Teacher:"clean.."
Class:"clean, cleaner, cleanest..
Teacher:"tall….
Class:"tall, taller, tallest….
Teacher[smiles]:"very good!!
Class:"very good, very gooder, very goodest..
Teacher:"oh gosh.."
Class: oh gosh, oh gosher, oh goshest!!!
Teacher:"stop it now"
Class:"stop it now…stop it nower…stop it nowest!!
Teacher:"oh please.."
Class:"oh please, oh pleaser…O' pleasest.."
Teacher:"Look at me..!!
Class:"look at me, look at me-er, look at me-est..
Teacher:"what a disgrace!
Class:"what a disgrace, what a disgracer, what a disgrace-st
Mwisho wa darasa.....mapumzikoooooooo!!
charminglady nitakudisi aseee yani unanianika azarani namna hiiii........unajua kuna mtu namsalandia hapa nlitaka kumsapraizi na ugold wangu wa maunoni:disapointed:hahaaaa... nilimpatia kweli Yummy kuanza kumkagua!!!!!!!!!!!! ila siwezi kusema nilichokiona baada ya ukaguzi lol!!!!
n-way ngoja tu niseme ana chachandu ya gram 16 na nusu tena gold sasa dah..... we acha!