Vibabu hatukubali kushindwa kirahisi.... Na bahati nzuri vibinti vinatushobokea...mpe rahaze Kaizer wako mwaya! mi Young_Master anajua mwenyewe utamu wake ulipo, ndio maana yupo kimyaaaaaa anakula chabo tu! ila vibabu bwana, unaweza ukadhani umeua, utasikia KIMYAAAAA, Kumbe kanasikilizia ladha kha! JAMANI VIBABU MUWE MNAHEMA MUDA WOTE, MNATUOGOPESHA EBO!
Sasa we mbona huna msimamo? Huyu Young_Master umempendea nini hasa?nipo baby wangu! mwahhhh! leo nikupikie nini?? umemiss nini kha?!
Erickb52 hamna kitu kitamu kama chapuchapu kidunchu dogo.......utamu wake hauelezekiiii
Weye unauweza? Huu mdogo tu wa kutambua hiki ni nini umeshindwa?? FYI hao ni kitimoto wanakula!! Yummy bana, una mawazo ya mbaliiii. Haya ita kina cacico, BADILI TABIA, gfsonwin, Kongosho na charminglady waje wajaribu na wao.
Hahahaha.... LOLaisifiaye mvua imemyea shostito...............!
Unaona ulivyofeli mtihani kama Yummy?......... Na huu nao utakushinda.... Huyo si mwanamke LOLnimekugongea like si kwamba umenikosha roho la bali umeniondolea hamu kabisa ya ku do. lo lo lo lo! jamani uchi huu mbaya sana lo sijui wanaotembea na wazungu wanavumiliaje haya. mmh!
Weye unauweza? Huu mdogo tu wa kutambua hiki ni nini umeshindwa?? FYI hao ni kitimoto wanakula!! Yummy bana, una mawazo ya mbaliiii. Haya ita kina cacico, BADILI TABIA, gfsonwin, Kongosho na charminglady waje wajaribu na wao.
Hahahaha....... si wewe tu. Msome huyu mhanga mwenzio gfsonwin hapa chiniBAbu Asprin huna maana kabisa.
Nimekimbilia kukumbatia komputa ili watu wasione na kuzima juu
Kumbe kitimoto, kweli hiki ni kizazi cha nyoka lol
nimekugongea like si kwamba umenikosha roho la bali umeniondolea hamu kabisa ya ku do. lo lo lo lo! jamani uchi huu mbaya sana lo sijui wanaotembea na wazungu wanavumiliaje haya. mmh!