Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Hii mechi si ya kukosa kushuhudia, naomba ipelekwe uwanja wa taifa.
Ni mechi kati ya Englan na Spain sijui itakuwaje.
Cheki babu asprin alivyofurahia, kameanza kupasha.
Hommie Kaizer ushakuwa bushoke tena
4some ya nin? wengine wote ni waangaliizi tu manake shughuli yangu ni zaid ya hiyo ya 4some. asije nifia bure.
Hahahaaaaaaaaa.....
Hayo masharti kiboko
wewe weka wazi kuwa Umamhitaji babu....
wala si dawa hiyo.........
Kua straight tu..........
But you have made my day dada yangu a moyoni.
Hahahahaaa kwanza uzuri tumeambiwa twende na kampani kama Yummy so kabla sijaitwa kumalizia ntakuwa nshajimaliza kwa Yummy the nikienda kumalizia kitu Kiboooooooo fasterKabla hujapewa kumalizia utakuwa umeshajinyonga kimguu kidogo
Tena kama unahasira za karibu, mafua yatakuwa yameshakutokaje??????
Deal Signed.
Hommie Kaizer popote pale ulipo tafazali usikose. BADILI TABIA, Yummy na cacico nawaombeni radhi, sina budi kupata hii tiba muafaka. Tafazali Kongosho asipewe hii habari.
Hujui masharobaro wao fani zao ni kwenye hayo mashughuli?Erickb52 usimsingizie, halafu weye nauona kama sharobaro fulani hutoniweza aisee
sasa hapo taifa atafikaje kwa maumivu? hii nitamfuata tu huko nyumbani kwake barabara ya 12 na hapo weye usiwepo manake wewe maza house hutakiwi kabisa but vimada tu wanaruhusiwa .
baba daya kusaini jiandae kwa kula supu ya pweza na viroba vya kutosha manake kazi itakuwa kubwa lakin utatibika kabisa. wote mlioombwa kufika please mjitahidi sana sana msikose kufika.
Foursome tena? OMG..... :rip: ODM....:amen::closed_2::focus:
wapenzi wa chit chat leo ndio miye kungwi wenu nimerudi na dawa ya kumtibia Asprin baada ya kukutwa na dhahama ya kukojoa dagaa baada ya kutoka na cacico na tego hili aliwekewa na Young_Master.
kwa masharti ya dawa yenyewe yanipasa kumwomba ruhusa wa moyo wangu Kaizer ili nikawe tabibu kwa Asprin na kwakua hawez kabisa kutembea basi nitamfuata nyumbani kwake barabara ya 12.
masharti ya dawa
1) itabidi niipake kwenye utupu wangu kisha wewe uichukue humo kwa kutumia mshedede.
2)kama ukiweza kunipandisha mizuka basi itabidi unipe dozi na iwe intensive dozi worth fulfilling
3) Kaizer atakuwepo ili kama ukishindwa kazi amalizie
4)unaruhusiwa kumleta moja ya vimada wako awe Yummy ama Badili taba lakini siyo cacico.
kama umekubaliana na masharti haya please sign hii fomu hapa chini
mimi..............................nakubaliana na na masharti haya kutoka kwa tabibu wa tego nililopata.
sahihi............................tarehe............................
Usikidharau kibabu, naskia kiko JUUU - source cacico