Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,551
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Demokrasia. Maadhimisho yanafanyika hapa kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja. Maadhimisho haya yameandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania TCD. Maadhimisho yameanza kwa maandamano. Swali ni "Kwenye nchi zenye demokrasia ya kweli, Jee Tanzania nasi tumo humo?.