Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
- Thread starter
- #21
Leo ni Desemba 31.Tangu nipost hii thread ni miezi 6 net lakini nafurahi kusema kuwa kwa michango yenu hii ilinifanya kuweka nia na leo nipo nyumbani kwangu(nimekamilisha ujenzi) nyumba vyumba 4,sebule,dining ,choo,bafu na umeme,maji tayari bado ,vigae na madirisha ya mbele vioo bado.
hivyo 2011 nimepata mafannikio
mungu mkubwa
Karibu 2012
Amina
hivyo 2011 nimepata mafannikio
mungu mkubwa
Karibu 2012
Amina