Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,229
- 1,389
IsraeliNa kila atakaye kulaani nami nitamlaani naye akubarikie nami nitambariki " ili mambo yako yanyooke inabidi uwe unaiombea israel aman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idi Amin was installed by Israel, the United States, and British intrigue; "the Israeli advisers in Uganda were especially close to Colonel Idi Amin." [BEIT-HALLAHMI, p. 61]Vilevile kuna novel kwa jina hilo hilo la "90 minutes at Entebbe" na kingine " the Entebbe Raid". Tukio zima limetawaliwa na episodes kama za sinema za James Bond lakini kwa wale waliokuwa hai na utambuzi ile ndiyo hali halisi wakati Iddi Amin Dada akiwa amewekwa kwenye mazungumzo na wakali wa MOSSAD huku kwenye kiwanja cha Entebbe mapambano yakiendelea bila yeye kujua.
Brigadier Dan shomrom ndiye aliyeratibu mapigano pale Entebbe airport
Mkuu hapo kwenye red umenivunja mbavu waarabu hawana kitu walipata raana za kunyanyasa watu weusi kwa kuwauza utumwa na laana yao haijulikani itaisha lini na wanaowapenda wanajichulia.Mkuu kuna matukio mengi yanayoonyesha ni jinsi gani waisrael walivyo makini when it comes kwenye masuala ya kulinda usalama wao. Usisahau ndege 100 za kivita walizozilipua pale Cairo ambazo zilikuwa zinasubiri amri kuruka na kwenda kufuta kabisa taifa linaloitwa Israel lakini kwa mshangao ndege zote 100 zililipuliwa hapo hapo uwanjani hata kabla hazijaruka na Rais Nasser alipata ugonjwa wa moyo aliposikia hii habari, ugonjwa ambao haukumuacha mpaka ALIPOFARIKI. Usisahau pia ile Radar iliyokuwa imewekwa karibu na Suez canal kwa ajili ya kumonitor ndege za Israel na makomandoo waliokuwa wametumwa kwenda kuilipua walirudi na kutoa taarifa kwamba hakuna haja ya kuilipua, ile ni ya kwenda kuchukua tu kwani hapakuwa na ulinzi makini. Na kweli walikwenda wakawaua walinzi, wakaifungua na kuibeba kwa helikopter mpaka kwao.
Hawa jamaa ni mwisho wa maneno na ndio maana dunia inawaogopa including nchi za europe na marekani yenyewe. Huwezi kusikia marekani ikilaani kilichofanywa na muisrael.
Tiba
Kuweka Sawa hauitwa Moshi ni MosheMkuu wa Majeshi wa Israel wakati huo alijulikana kama, Brigadia General Moshi Dayan
Kuweka Sawa hauitwa Moshi ni Moshe
General pekee kijichoView attachment 35300