Leo ni kumbukumbu ya Entebe raid 4-7-2011

IsraeliNa kila atakaye kulaani nami nitamlaani naye akubarikie nami nitambariki " ili mambo yako yanyooke inabidi uwe unaiombea israel aman
 
Vilevile kuna novel kwa jina hilo hilo la "90 minutes at Entebbe" na kingine " the Entebbe Raid". Tukio zima limetawaliwa na episodes kama za sinema za James Bond lakini kwa wale waliokuwa hai na utambuzi ile ndiyo hali halisi wakati Iddi Amin Dada akiwa amewekwa kwenye mazungumzo na wakali wa MOSSAD huku kwenye kiwanja cha Entebbe mapambano yakiendelea bila yeye kujua.
Idi Amin was installed by Israel, the United States, and British intrigue; "the Israeli advisers in Uganda were especially close to Colonel Idi Amin." [BEIT-HALLAHMI, p. 61]

"The Israelis," observed two scholars on the area, "... were disturbed by [the former head of Uganda and his] growing anti-Zionism ... Amin they thought would be a useful puppet and come to rely on a large military presence for his survival." [BEIT-HALLAHMI, p. 62]

When Palestinians hijacked an Air France jet to Israel in 1976, in the famous Entebbe airport incident in which Israeli troops clandestinely flew to Uganda and freed Jewish hostages in a shootout, it helped in siege plans that the Entebbe airport had been built by an Israeli company, Solel Bonch, which provided Israeli rescuers with information about airport terrain. [BLACK/MORRIS, p. 340]
 
Brigadier Dan shomrom ndiye aliyeratibu mapigano pale Entebbe airport
 
Hawa waisraeli wanauwezo mkubwa sana wa kufikiri wakiwa katika wakati mgumu wa vita. Katika vita vya mwaka 1967 Misri walichimba sana jangwani Sinai na kuficha kila siraha kali katika mahandaki. Na walikuwa na mahandaki mengi sana walichimba kabla ya kuivamia Israel. Muisraeli yeye alifuga njiwa tuu na hakuwa na wasi wasi wa kugundua kila handaki liko wapi.

Wakati wanazipiga na mapambano yakiwa yanawaka moto Muisraeli yeye alirusha njiwa wengi angani kati kati ya jangwa la sinai. Si unajua njiwa ni rafiki wa binadamu hivyo kila mahali ambapo binadamu kafukua fukua na kuchimba lazima njiwa atatua ili aparue parue chakula.

Basi kila njiw aliipokuwa anatua na mwisraeli alikuwa anashusha bomu pale pale. Kwa masaa kumi na mbili misri ilijikuta imepotesa siraha zake nyingi sana mle jangwani pamoja na mahandaki yake yote kulipuliwa!!
 
Mkuu kuna matukio mengi yanayoonyesha ni jinsi gani waisrael walivyo makini when it comes kwenye masuala ya kulinda usalama wao. Usisahau ndege 100 za kivita walizozilipua pale Cairo ambazo zilikuwa zinasubiri amri kuruka na kwenda kufuta kabisa taifa linaloitwa Israel lakini kwa mshangao ndege zote 100 zililipuliwa hapo hapo uwanjani hata kabla hazijaruka na Rais Nasser alipata ugonjwa wa moyo aliposikia hii habari, ugonjwa ambao haukumuacha mpaka ALIPOFARIKI. Usisahau pia ile Radar iliyokuwa imewekwa karibu na Suez canal kwa ajili ya kumonitor ndege za Israel na makomandoo waliokuwa wametumwa kwenda kuilipua walirudi na kutoa taarifa kwamba hakuna haja ya kuilipua, ile ni ya kwenda kuchukua tu kwani hapakuwa na ulinzi makini. Na kweli walikwenda wakawaua walinzi, wakaifungua na kuibeba kwa helikopter mpaka kwao.

Hawa jamaa ni mwisho wa maneno na ndio maana dunia inawaogopa including nchi za europe na marekani yenyewe. Huwezi kusikia marekani ikilaani kilichofanywa na muisrael.

Tiba
Mkuu hapo kwenye red umenivunja mbavu waarabu hawana kitu walipata raana za kunyanyasa watu weusi kwa kuwauza utumwa na laana yao haijulikani itaisha lini na wanaowapenda wanajichulia.
 
Du! Hii ndiyo raha jf unajifunza mengi sana! Dah! Kumbe hawa jamaa c kuchezea kabisa!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom