- Thread starter
- #21
wachakachua thread washaanza.
@madodi hapy birthday mwaya
mia mia..mdau wangu
wachakachua thread washaanza.
@madodi hapy birthday mwaya
Happy Birthday
HONGERA Madodi kwa kusherehekea siku yako hii ya kuzaliwa.
Mungu akupe umri mrefu, afya na furaha.
Madodi mwenyewe katoroka katuacha wageni waalikwa ukumbini, tufanyeje zaidi ya kupiga story! Sherehe haina hata keki we uliona wapi wifi?.. Mzima weye?
Hongera Madodi niko mwanza saa ngapi niwe maeneo?