Leo ndiyo Tarehe waliotuahidi helsb ya kukata rufaa.

Makbel

JF-Expert Member
Aug 14, 2011
774
165
Wadau Bodi ya mikopo kwenye matangazo yao pale ofisini walisema siku ya leo tarehe 1 October wataweka maelezo jinsi ya kukata rufaa kwa waliokosa mikopo. Lakini mpaka muda huu kwenye tovuti yao hakuna jipya lolote. Je, tufanye njia gani ili tukate hiyo rufaa?
 
ndugu yangu unapaswa kuwa na uvumilivu kwa sababu leo haijaisha usitoe lawam pasipo kuwa mchambuzi wa kina kwa kila ukitacho kufanya maana haya mambo yana milolongo yake mkuu

wadau bodi ya mikopo kwenye matangazo yao pale ofisini walisema siku ya leo tarehe 1 october wataweka maelezo jinsi ya kukata rufaa kwa waliokosa mikopo. Lakini mpaka muda huu kwenye tovuti yao hakuna jipya lolote. Je, tufanye njia gani ili tukate hiyo rufaa?
 
Huyu mwenzako analeta jambo la msingi ,wewe unamdhihaki. Amekosa mkopo, meaning kama yuko kama mimi hakuna shule hapo. Acha dhihaka kwa mambo ya msingi. Mpe ushauri au nyamaza tu.

Kaka wengine wana matatizo ya akili humu. Twende nao taratibu!
 
haya bana kawaida ya binadam hua hatukumbuki nyuma leo kutu watu wanatoa kauli za ajabu sna kisa wao wamepata loan!!! ushauri kwa wenzangu km loan imekosekana na uwezo wa home ni km wa kwangu yaani tiamaji tiaji airisha mwaka tuuu!!! vyuo vpo!!!
 
Back
Top Bottom