Jidundufila
Member
- Nov 2, 2010
- 86
- 11
Habari zenu watanzania wa kweli. Jana nimewasikiliza vinega kupitia FNL kusema ukweli wamenigusa sana nusura nitoe chozi jinsi wasanii wa bongo wanavyodhulumiwa. Mi mwenzenu leo mapemaaa naenda kuwaunga mkono hawa ndugu ni kweli wanalenga kumwinua mtanzania nakusihi usikose twende ustawi wa jamii ndugu.