Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Kwani we sio m-TZ?kufungwa ni kufungwa tu.. walipoteza kwao na nyie mmepoteza kwenu..
Kwani we sio m-TZ?kufungwa ni kufungwa tu.. walipoteza kwao na nyie mmepoteza kwenu..
Hata Chadi wanatufunga? Ama kweli maandamano na migomo yanatuathiri!
Kweli bana,wachezaji wa Simba wengi wabovu.Huyu poulsen atimuliwe maana kajaza michezaji ya Simba na ndo maana 2mefungwa,wapi Oscar Joshua,Taita,Tegete,Nurdin(anamuweka sub),Juma Seif 'kijiko'