Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Kwenye Passport za Wazanzibari kwenye pahala pa kuzaliwa pameandikwa Zanzibar, kwa sababu kama Zitto alivyoeleza Zanzibar linatambulika kama lilikuwa taifa.
inashangaza kuona pahala pa kuzaliwa kwa Watanzania wengine hapaandikwi TANGANYIKA ijapo kuwa napo palikuwa ni taifa.
muungano umeua identity ya Mtanganyika, na labda ilikuwa rahisi kufa kwa Identity hiyo kwa sababu taifa la Tanganyika lilikuwapo kwa mda mdogo zaidi kuliko taifa la Zanzibar.
au labda identity ya mtanganyika imekufa kwa sababu watu hawakuitaka tokea hapo mwanzo, haikuwa deal kwao kwa vile wapo wachaga, wahaya, wazanaki, wagogo.... nk.
muungano wetu kwa kweli haupo equal katika mambo mengi. unahitaji marekebisho ya hali ya juu.
inashangaza kuona pahala pa kuzaliwa kwa Watanzania wengine hapaandikwi TANGANYIKA ijapo kuwa napo palikuwa ni taifa.
muungano umeua identity ya Mtanganyika, na labda ilikuwa rahisi kufa kwa Identity hiyo kwa sababu taifa la Tanganyika lilikuwapo kwa mda mdogo zaidi kuliko taifa la Zanzibar.
au labda identity ya mtanganyika imekufa kwa sababu watu hawakuitaka tokea hapo mwanzo, haikuwa deal kwao kwa vile wapo wachaga, wahaya, wazanaki, wagogo.... nk.
muungano wetu kwa kweli haupo equal katika mambo mengi. unahitaji marekebisho ya hali ya juu.