sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Hehehe, hapo nimemnunia ananitaja kila saa, nikimchekea je itakuwaje?Ni Nitty huyo
kila saa SL, hadi nikadhani SL kiatu.
mzima mamii?
Mi mzima mwaya, nafurahi vile nawe uko pouwa!
Hehehe, hapo nimemnunia ananitaja kila saa, nikimchekea je itakuwaje?Ni Nitty huyo
kila saa SL, hadi nikadhani SL kiatu.
mzima mamii?
Hahaha, afu yale mashavu huwa yanang'aa mda wote, afu mawashiwashi hayatafuniki asee, huwa wanameza bila kutafuna lol..
Mawashiwashi hata kabla hujayapika ukiyadondoshea gongo yanaumuka.Mie najua mawashiwashi inatembea na gongo...
hiyo hiyo swty . Ukila hiyo maneno na gongo lazima unenepe reception .
Hehehe, hapo nimemnunia ananitaja kila saa, nikimchekea je itakuwaje?
Mi mzima mwaya, nafurahi vile nawe uko pouwa!
Mawashiwashi hata kabla hujayapika ukiyadondoshea gongo yanaumuka.
na ole wako umchekee
Arusha na moshi kote kwangu lol...watu wagongo kweli wanang'aa 24 / 7 . We umejuaje ? Utakua ni mtu wa Arusha au Moshi.
swty hujambo ?
Hahaha! Ndio mana wanywa gongo huwa wanayapenda, manake wanabaki wameshiba mda wote lol..Mawashiwashi hata kabla hujayapika ukiyadondoshea gongo yanaumuka.
Leo wanasayansi tulikuwa na kikao muhim sana kujadili faida za mafuta ya ngozi ya punda.
Tupongezeni
na ole wako umchekee
sijambo,za kwako?umelalaje?
Hongereni sana wanasayansi wetu!.. Pitia biya yako hapa kwa kongosho!Leo wanasayansi tulikuwa na kikao muhim sana kujadili faida za mafuta ya ngozi ya punda.
Tupongezeni
Khaaa we bucho!mi nipo pouw ila kabaridi kakali . Mi sijalala nawaza kikuku chako tu . Lol !