karibu, leo ni story na mbege tu.
Kuna kingine tofauti na mbege au?
Tumewaandalia ile kitu roho zenu inapenda!
Bora Preta umekuja, kama unahela kidogo, kanunue basi hata mbege kwa mama masawe.
Angalau wakiwa wengi tuwape japo kulainisha koo.
Pancrease,
Huu mnuso nauona uko havy! Lakini mbona umetustukiza ? Wengine twakaa mbali huku Mboto la gongo , tena tushavua na pamba , kama saivi nimebaki na msuli yatima hauna Baba hauna Mama ! Chukuchukuisims naruhusiwa kuja hivyohivyo ?
Na kuhusu kulainisha koo na vinywaji mi nishalainishwa sana koo ! Huko labda nitalainishwa vilivyo chini ya koo.
kiroba?
Unataka unenepe mashavu tu?
Hahahaaa...... Umenifurahisha sana bucho,kiroba?
Unataka unenepe mashavu tu?
mbege na mawashiwashi ndo unavimba mashavu . Kiroba ni dawa ya wazee .
Unanisababisha najing'ata usingizini bana...ukimwambia hivyo atakimbia
SL anamchapa siku hizi
afu Nitty ni mtu wa chips, hawezi himili kipigo cha usiku.
Yangu macho tu!..Na we pia, jifeel kama SL yupo.. Utaweza?
Hahahaaa...... Umenifurahisha sana bucho,
Mawashiwashi?!!!!..... Preta hebu njooo utuambie hii ni nini, ipo kwenye elementary canal au respiratory system?
Halafu utuambie pacrease ina uhusiano gani na nyongo na insulin!
Asee kongosho, nambie nishuke kituo gani.
Mie najua mawashiwashi inatembea na gongo...inamaana hujui mawashiwashi ? Ndo chakula inayotembea na mbege sana.
Mie najua mawashiwashi inatembea na gongo...
Hahahaaa...... Umenifurahisha sana bucho,
Mawashiwashi?!!!!..... Preta hebu njooo utuambie hii ni nini, ipo kwenye elementary canal au respiratory system?
Halafu utuambie pacrease ina uhusiano gani na nyongo na insulin!
Asee kongosho, nambie nishuke kituo gani.
Hahaha, afu yale mashavu huwa yanang'aa mda wote, afu mawashiwashi hayatafuniki asee, huwa wanameza bila kutafuna lol..hiyo hiyo swty . Ukila hiyo maneno na gongo lazima unenepe reception .