nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Apo chacha ndo umenena.............
Sisi wake zetu wana mimba sasa itakuwaje
Apo chacha ndo umenena.............
mmmh konnie.....hawa watu tuwape supu ya jiwe.....mbege watatufilisi....watataka wanywe drum zima....supu lita 5 wote chali ndani ya dk 2....
Weeee!! Mi sivaagi manguo usiku bana, tena wakati umeme umekatika.Nadhani unaona nilivyomshauri hapo juu.
Natumaini atafuata maelekezo
Unakuja na msuli kwenye mbege, unataka kuadhilika wewe?
SL sasa hivi ana ujauzito basi full kuninunia ndani
kwani mimba ugonjwa??
Ujue ni heater tu.
Hahahahaaaaaa...kwani mimba ugonjwa??
Ujue ni heater tu.
Sisi wake zetu wana mimba sasa itakuwaje
After party, vijana kuna mnanda hapo nje.
Wakubwa streiti kitandani wawili wawili wa tofauti tofauti.
Namaanisha kila mtu kwao.
hehehe na bado, akifika miezi 9 na chakula utanyimwa!
Hajambo wakina mama ? Mmetuandalia nini leo jamani ?
Hahahahaaaaaa...
Chezeya heater wewe!
Mna mambo nyie, ngoja leo nijitupie mbege vipi b52 hajambo
Tumewaandalia ile kitu roho zenu inapenda!
b52 mzima.. Ladies night leo kaniacha nitoke na mashost, hajajua nimekuja kuvamia shughuli ya kongosho huku. Na wababa mmejaa!
Usijali sisi tupo jifeel kama vile yupo