EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Binafsi naamini kuwa kwa sasa lile Azimio la Arusha haliwezi kufanya kazi kwa sasa kwa sababu ujamaa kwa Tanzania ya sasa ni kitu kigumu sana, mi nadhani kama wataalamu wetu wakikaa na kutoka na kitu kinachofanana na Azimio la Arusha lakini liwe Azimio linaloendana na maisha yetu ya sasa.
Maisha yetu ya sasa ndio yapi hayo?