This is none sense...wengi wamechangia ila hata kipengele cha kwanza kuhusu Kenya hakina maana, sijui hiyo ni political science ya wapi.. Wakoloni waliwaachia Wakenya majengo tena ni Nairobi to na barabara ni majuzi tu wameweza kuwa sambamba na sisi kwenye miundo mbinu mbali na hapo Nairobi kwenye pot holes za kutosha, huwezi kulinganisha barabara za Tanzania 2005 na barabara za Kenya...na hayo majengo wakoloni waliacha yana nini cha maana? viwanda vingi Kenya ni vipya sema tu imekuwa ni base ya wakoloni walipokuwa EA na kingine ni J. Kenyatta International airport ambayo hiyo pia ni mali ilikuwa robbed kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki. Wakoloni walichukua madini yetu? Kenya wana madini kama sisi..hizi zote ni facts Tanzania na JK ameshindwa kabisa tena mara 50 Mkapa amefanya kazi kwa mfano reforms za TRA, barabara zote mnazosikia zimeunganisha nchi ni Mkapa alianza na uchumi ulikuwa umekaa sawa mbali na ufisadi unaosemwa kafanya Mkapa. JK is total failure na unaposema maamuzi ya Chama vs Serikali, eti Waziri wako anafanya upuuzi unaogopa chama kitavunjika?? kina Kibaki waliacha vyama na kujiunga kwingine, maslahi ya Taifa kwanza then Chama hiyo ndiyo formula... utendaji pembeni na siasa pembeni, ndiyo maana na hoja kuwa Waziri si lazima awe mwanasiasa, tunataka watu intelligent siyo wanasiasa wanakuwa mawaziri hao si watendaji.