Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,359
Mkuu dalili ya mvua ni mawingu. Tangu tumeanza, alikuwa ananishushua mimi tuuuuuu. Wewe wala. Nisaidie kwa nyamayao mkuu, mwambie na shem, msaada wake ni muhimu sana.
Hilo limekwisha na mimi niliona kijiwivu kake nikajua upepo unakuendea vyema, nimekwisha mpa task wifey naona saa hizi anampanga nitakupa feed back baada ya lunch, maana tutakuwa na shemeji yako.