M MZAWATA JF-Expert Member Feb 10, 2011 556 95 Oct 18, 2012 #1 Leo hii wakristo na waislam kwa namna moja au nyingine hawaelewan kias fulani kwasababu ya mambo yanayoendelea hapa Nchini. Nani alaumiwe?
Leo hii wakristo na waislam kwa namna moja au nyingine hawaelewan kias fulani kwasababu ya mambo yanayoendelea hapa Nchini. Nani alaumiwe?
D delako JF-Expert Member Oct 6, 2012 2,743 1,492 Oct 18, 2012 #2 Hakuna swali hapo!Jib hata grade 6 anaweza akajibu,HATA MIMI NASHANGAA KWANN TZ NI MASIKINI!!!!
K Kagalala JF-Expert Member Oct 31, 2010 2,403 1,132 Oct 18, 2012 #4 Walitumia mbinu hii 2010 sasa inawatokea puani