hauna mengine ya kuandika hapa maana haya tumeyachoka
Sema kuwa,umechoka wewe tu,acha kutujumlisha na wengine! kaa kivyako!!!
hauna mengine ya kuandika hapa maana haya tumeyachoka
Arumeru inaenda chadema...
Mkuu Kashoga,IGUNGA,BUSANDA KOTE TULIAMBIWA HIVI HIVI MWISHO WA SIKU CCM inabeba jimbo!so endeleeni kuesabu watu, wengine wasafiri wengine wakazi wa moshi! mwisho wa siku ccm inaibuka mshindi,mtajibeba sana mwaka huu
Sema kuwa,umechoka wewe tu,acha kutujumlisha na wengine! kaa kivyako!!!
Mkuu,Umati huu ni wawanachama wa CCM walioambiwa na comrade Lowasa wabaki kikatiti kusikiliza sera za wahaini chadema ili wakakamilishe kazi ya kuisulubu chadema tarehe 1/4/2012