pinochet
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 345
- 96
Wakuu mimi leo nilikuwa Ngarenanyuki, kila unayemuuliza jibu ni cdm, balaa ni pale makamanda walipowasili kwa chopa, ilikuwa balaa. Wakati wa jioni tulipokuwa tunarudi maeneo ya usa river kilala tulikuta watu pale barabarani kwa mamia wote wakionesha V, tulipofika tengeru balaa kubwa. Hapa labda magamba wachakachue, nionavyo mimi cdm for Arumeru East walahi. :violin: :lock1: