Keshokutwa hesabu itakuwa CDM 215 CCM 7, CDM 350 CCM 31, CDM 70 CCM 2, CDM 516 CCM 46. Yaani watachanganyikiwa na matusi yao vibaya sana
Mkuu, hata mimi naomba hivyo Arumeru iende Chadema...lakini habari za uhakikaArumeru inaenda chadema...
Yaani hamasa ilikuwa kubwa na wengi walikuwa kwenye nguo nyeupe duu nadhani waraka wa salamu wa Nassari wakuvaa nguo nyeupe hadi raha kwa kweliwana jf nimeangalia habari ya itv hakika chadema imefunika ingawa wameanza na mkutano wa ccm kuonyesha walivyokuja kwa chadema hakika ilikuwa burudani kesho kutwa jimbo la chadema
Mkuu,kuna hatari CCM kujitangazia ushindi kwa kutegemea nguvu ya dola! Je, hapo itakuwaje?Kilichobaki ni mikakati ya kulinda kura tu, ushindi kwa Chadema ni swala lililo wazi kabisa.
Hiyo yanayo mabox ya kura tu na si mtu mwingine! Chezea sisi 'm' m stands for majizi,majambazi,magaidi, mafisadi, nk.Kilichobaki ni mikakati ya kulinda kura tu, ushindi kwa Chadema ni swala lililo wazi kabisa.
Hiyo ndiyo hali halisi mkuu,
Ona sera za CCM!!!!!!!!!
Nipigeeeeeeee Nisipigeeeeeeee??????????????? ?????
Pigaaaaaaaaaaaa
Bendera ya CCM ina rangi ganiiiiiiiiiiiiii????????????? ??
Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mahindi yanaota rangi ganiiiiiiiiiiiii???????????
Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mpunga unaota rangi ganiiiiiiiiiiiiii???????????
Kijaniiiiiiiiiiiiiiii
Migomba yote ina rangi ganiiiiiiiiiii?????????????
Kijaniiiiiiiii.
Piga makofi na vigelegele kwa Chama cha Mapinduzi.
CCM Oyeeeeeeeee.
Oyeeeeeeeeee.
Kwa hali ilivyo hivi sasa, CCM inashinda kwa asilimia kubwa sana! Wazee wote wa Arumeru wenye influence wametoa baraka zote kwa Sioi! Vijana wote wataipigia kura CCM! Akina mama wote wataipigia kura CCM!