Kwa habari nilizonazo, Leo JK yupo Kilosa mkoani Morogoro kuwafariji wahanga wa mafuriko.Pinda alianza yeye anafuatia!
Rais wetu msanii mkubwa, hakuna mechi kubwa wala Drogba hachezi leo ndo maana ameamua kwenda kuwaona Watamzania wanaoangamia na mafuriko,Kwa habari nilizonazo, Leo JK yupo Kilosa mkoani Morogoro kuwafariji wahanga wa mafuriko.Pinda alianza yeye anafuatia!
AAH hii inatisha, Rais analeta mbwembwe msibani.Omumura na Wengine,
Hapana. Hayupo Kilosa. Safari yake imeahirishwa. TBC Taifa walitangaza jana na kumnukuu mkuu wa mkoa wa Morogoro akisema kuwa safari ya Rais imeahirishwa kwa sababu maandalizi bado hayajakamilika.
Omumura na Wengine,
Hapana. Hayupo Kilosa. Safari yake imeahirishwa. TBC Taifa walitangaza jana na kumnukuu mkuu wa mkoa wa Morogoro akisema kuwa safari ya Rais imeahirishwa kwa sababu maandalizi bado hayajakamilika.