figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Juu ndege za kivita, chini magari ya kivita. kuna nini jamani?? Mimi nipo hapa maeneo ya external yamepita magari manne yenye mizinga kwa nyuma iliyofunikwa kwa turubai za kijeshi. Ile nataka kuchukua picha kumbe kwa nyuma kuna pick up kama zile za libya wakaninyoshea kidole. Mi nmebabki nashangaa. mwenye taarifa atujuze wanaenda wapi sababu watokea Ubungo wakielekea tazara. Nimezoea kuona zana za kivita zikisafilishwa usiku. Leo kulikoni?. Mia