Kuna haja gani ya kuzalisha halafu kinaibwa chote na kupelekwa uswisi kwenye mabank ya accounts za mafisadi?Kila siku mikutano watu watafanya kazi za kuzalisha saa ngapi?. Chadema kweli wanaboa.
Afadhali waswahili nao wahubiriwe neno la uzima, maanake?
Kila siku mikutano watu watafanya kazi za kuzalisha saa ngapi?. Chadema kweli wanaboa.
Waacheni watu wafanye kazi mnawapa usumbufu Wananchi sasa Kariakoo huo mkutano utafanyika sehemu gani mnataka watu waibiwe vitu vyao pamaja na magari yao.
bora waanze kujisogeza na kwa waswahiliCHADEMA Leo saa nane mchana itafanya mkutano wake Kariakoo sokoni na Afande Lema. M4C at work
Kila siku mikutano watu watafanya kazi za kuzalisha saa ngapi?. Chadema kweli wanaboa.
waacheni watu wafanye kazi mnawapa usumbufu wananchi sasa kariakoo huo mkutano utafanyika sehemu gani mnataka watu waibiwe vitu vyao pamaja na magari yao.
leo ccm walikuwa na maadamano mwanza nimeenda na nimepokea sh 5000 nikala kona,kula ccm kura cdmKila siku mikutano watu watafanya kazi za kuzalisha saa ngapi?. Chadema kweli wanaboa.
kumbe chadema ni wazungu.
Waacheni watu wafanye kazi mnawapa usumbufu Wananchi sasa Kariakoo huo mkutano utafanyika sehemu gani mnataka watu waibiwe vitu vyao pamaja na magari yao.