Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
<br /><br /><br />
<br /><br />
nEC ya kiravu na BOMANI
<br />
Kiravu anamdomo mpana yule teh!
<br /><br /><br />
<br /><br />
nEC ya kiravu na BOMANI
<br /><br /><br />
<br /><br />
Kufikiria KIMASABURI kukoje teh?
<br />hivi brigedia mstaafu hassan ngwilizi ameshawahi kuuliza hata swali la nyongeza?
<br /><br /><br />
<br /><br />
kwenye SABURI weka MAKALIO,
<br /><br /><font size="4">Baadhi ya wabunge wakapime afya zao</font>
<br />Wabunge warudi kwenye majimbo sasa waje wafanye kazi tuone ahadi zao haswa Mmbunge wangu Mch. Msigwa wacwac wng yasije yakamkuta 2015.
<br /><br /><br />
<br /><br />
nimESKIa lugha za KIMASABURI
<br /><br /><br />
<br /><br />
Hizi lugha zikoje? Fafanua!
Ha ha haa! Hii topic uloanzisha ni nzuri sana. Comedy! Tutakimiss sana kile kibwagizo cha naunga mkono hoja mia kwa mia baada ya kusema yafuatayo, "Mheshimiwa spika, Jimboni kwangu wananchi watano wameuawa na askari wa wanyama pori, Nyaya za umeme zimepita katika kata kumi na nane katika jimbo langu na hakuna hata kijiji kimoja chenye umeme, Ni asilimia mbili tu ya wapiga kura wangu wanapata maji ya bomba toka seminari ya ................, Jimbo langu lina kilometa sita tu za barabara ya lami, mwaka uliopita kinamama sabini na mbili walijifungulia barabarani kwa kukosa usafiri wa kuwawahisha kituo cha afya, Wananchi wangu waliohamishwa eneo la mgodo mwaka 2004 bado wanaishio katika jengo la mahakama. Hii inaonyesha Serikali yetu ni sikivu na inawajali wananchi wake. Naunga mkono hoja mia kwa mia."Leo bunge linafikia tamati hadi msimu mwingine. Je, mbunge wako amekuwakilisha ipasavyo au ameenda kulala? Nini kifanyike? Bunge limetimiza wajibu wake?