Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Hii ni mahsusi kwa wale wadau wa kubadili gia angani.
Hebu leo tulonge kinadharia tete [ingawa baadaye yaweza kutokea na kuwa uhalisia].
Hivi ikitokea Magufuli anaamua kujiuzulu urais kwa sababu za kuhujimiwa na wana CCM wenzake ndani ya chama chake halafu akatangaza kujiunga na UKAWA kupitia moja ya vyama viundao huo umoja, ghafla naye hatakuwa dikteta na dikteta uchwara kama alivyokuwa yule jamaa mwingine ambaye dunia nzima ilitangaziwa kuwa yeye ni bonge la fisadi?
Je, atapokewa kwa nderemo, hoi hoi, vigeregere na vifijo?
Nauliza tu maana siasa na unafiki ni kama kuku na yai.
Halafu, vipi UKUTA? Bado upo hiyo tarehe 1 Oktoba? [Hapo nilikuwa nachomekea tu]
Hebu leo tulonge kinadharia tete [ingawa baadaye yaweza kutokea na kuwa uhalisia].
Hivi ikitokea Magufuli anaamua kujiuzulu urais kwa sababu za kuhujimiwa na wana CCM wenzake ndani ya chama chake halafu akatangaza kujiunga na UKAWA kupitia moja ya vyama viundao huo umoja, ghafla naye hatakuwa dikteta na dikteta uchwara kama alivyokuwa yule jamaa mwingine ambaye dunia nzima ilitangaziwa kuwa yeye ni bonge la fisadi?
Je, atapokewa kwa nderemo, hoi hoi, vigeregere na vifijo?
Nauliza tu maana siasa na unafiki ni kama kuku na yai.
Halafu, vipi UKUTA? Bado upo hiyo tarehe 1 Oktoba? [Hapo nilikuwa nachomekea tu]