Leo afadhali

Mzito Kabwela

JF-Expert Member
Nov 28, 2009
18,857
7,615
Wakuu angalau kidogo biashara yangu leo imekwenda vizuri, siku chache zilizopita hali ilikuwa mbaya...


P1000548.JPG
 
aisee......never assume...............
MKUU HIZO NI KEJELI, HESHIMU IMANI YA WENZAKO.
Haya ndio mambo yanayojenga chuki kwenye jamii,
mwisho wa siku tunalalamika kuna udini kumbe sisi wenyewe ndio chanzo.
 
Sawa wakati wewe upo kwenye biashara yako bar mimi nilikua guest na wandani wako umpendae.NGOMA DRAW!!!
 
DAh, jamaa kaamsha hisia zangu juu ya hii kitu, leo jioni lazima nikapate kidogo kutuliza mtima, huku kwetu kuna mahali wanaitengeneza vizuri especially ile ya kurost na kuchoma ni balaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom