Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,569
- 31,884
Lema ni mwanafalsafaa wa juu sana!...hapo inahitaji zaidi ya common sense kuelewa alichokuwa anamaanisha!
Aise!!...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lema ni mwanafalsafaa wa juu sana!...hapo inahitaji zaidi ya common sense kuelewa alichokuwa anamaanisha!
Thread uchwara ndio hizi......karatasi linaweza kugharamia kitu gani katika kampeni? unaweza kwenda kwenye mgahawa ukapewa chakula na baada ya chakula ukawaonesha likaratasi kwamba haya ndiyo malipo?
Aise!!...
na wewe ushawahi kusikia msemo "Justice delayed is justice denied"?
Mtu mkweli hawezi kuahidi mwenzie fedha halafu anakuja kumpa kikaratasi cha pep talk. Alidanganya, Nassari akakosa plan ya fund raising maana alitegemea kuwezeshwa na Lema, matokeo yake akashindwa kufikisha ujumbe wa kampeni , akashindwa, kikaratasi hakikusaidia.
Ulevi huu ndio nisiokubaliana nao......
Mbona wewe ujaachana na mimi? kwa nini unahubiri usichokisimamia? ukiniita Jitu kwangu ni sifa kubwa....tafuta kitabu kinaitwa ALIITWA JITU ndio utanielewa.
Hivi huyu ni nani anayehutubia Wakuu? Simpati vizuri
Thank you Gaijin, what an exquisite mind u have, huna ushabiki wa kuangalia mambo kinazi-nazi, na kichama chama, unasema mambo kama yalivyo. Ni kweli kabisa hawa wanapenda chongo wanaita kengeza, pengo wanaita mwanya, wanakubali kuwa clouded with partisan sensationalism.
hapana, delayed justice haiwezi kuwa justice. Kama mtu alistahili kushinda toka zamani akashindishwa hapo hakuna justice, period. Haijalishi amekuja kushinda lini.
Lema alimdanganya Nassari kwamba atampa milioni kumi akishinda tiketi ya CHADEMA, Nassari akashinda akenda kwa Lema kuchukua hela za kumsaidia kufanya kampeni, akapewa kikaratasi cha pep talk. Huyo mtu tayari ni muongo, sasa bila ushabiki wala unazi tuseme ukweli, Lema alimwongopoea Nassari.
Hivi huyu ni nani anayehutubia Wakuu? Simpati vizuri
[/QU
Hii ina maana gani ? Maana gharama ya nyumba ni ndogo kuliko hilo dishi !!!!
Kumbe wengi tunapigwa chenga na tafsida/tamathali za semi, hivi mtu nikikuambia njoo nikung'ate sikio halafu nikakunong'oneza jambo, utasema nimedanganya, ilinipasa nikung'ate kabisa kabisa utokwe na damu? au kwa kuwa kuna kitu msimbazi kimetajwa.
Thread uchwara ndio hizi......karatasi linaweza kugharamia kitu gani katika kampeni? unaweza kwenda kwenye mgahawa ukapewa chakula na baada ya chakula ukawaonesha likaratasi kwamba haya ndiyo malipo?
Thread uchwara ndio hizi......karatasi linaweza kugharamia kitu gani katika kampeni? unaweza kwenda kwenye mgahawa ukapewa chakula na baada ya chakula ukawaonesha likaratasi kwamba haya ndiyo malipo?