chatu dume
31st March 2012 12:37
#1
JF Senior Expert Member Array
Join Date : 27th February 2011
Posts : 5,423
Rep Power : 1317
Likes Received468
Likes Given2
[h=2]Chadema kushinda Arumeru ni ndoto za jioni[/h]Chaguzi ndogo Arumeru unafanyika kesho na mshindi ni CCM, natoa ahadi Chadema wakishinda najinyonga mpaka nakufa tutaona kesho wakati wa kutangaza matokeo.
Mbona alishindwa na hicho kikaratasi?Nassari alisema mwaka 2010 alipoamua kugombea ubunge... Lema alichukua karatasi alimwandikia tumaini, jipe moyo na utashinda, akampa akamwambia hiyo ndiyo milioni kumi".
...nikimwangalia huyo mama hapo mstari wa mbele mwenye kilemba alivyohamasika mpaka raha!
na wewe ushawahi kusikia msemo "Justice delayed is justice denied"?Lazima uget used na huu msemo, " haki ya mtu haipotei, inaweza cheleweshwa tu". ndiyo ilivyokuwa kwa Mh Nassari,..got it??
Thread uchwara ndio hizi......karatasi linaweza kugharamia kitu gani katika kampeni? unaweza kwenda kwenye mgahawa ukapewa chakula na baada ya chakula ukawaonesha likaratasi kwamba haya ndiyo malipo?
Tatizo la watu waliyoivamia Chadema ndio unalo hata wewe yaani mtu yeyote akitofautiana mtazamo na watu wenye akili mgando kama za kwako unampachika kwamba ni CCM!!??tatizo lenu mmezoea kupewa hela na kula maubwabwa wakati wa kampeni za CCM ndo maana mnaona hakuna kinachowezekana bila pesa ...
Thread uchwara ndio hizi......karatasi linaweza kugharamia kitu gani katika kampeni? unaweza kwenda kwenye mgahawa ukapewa chakula na baada ya chakula ukawaonesha likaratasi kwamba haya ndiyo malipo?
Nakubali kutokukubaliana kwenye hili!!......usilazimishe niamini unachoamini wewe.fear is there somewhere in your head! what he gave him was hope and courage wi-hich its value worth moe than 10mio! wewe wa wapi kaka?
na wewe ushawahi kusikia msemo "Justice delayed is justice denied"?
Mtu mkweli hawezi kuahidi mwenzie fedha halafu anakuja kumpa kikaratasi cha pep talk. Alidanganya, Nassari akakosa plan ya fund raising maana alitegemea kuwezeshwa na Lema, matokeo yake akashindwa kufikisha ujumbe wa kampeni , akashindwa, kikaratasi hakikusaidia.
Thread uchwara ndio hizi......karatasi linaweza kugharamia kitu gani katika kampeni? unaweza kwenda kwenye mgahawa ukapewa chakula na baada ya chakula ukawaonesha likaratasi kwamba haya ndiyo malipo?
Ndugu, pesa si kila kitu ndugu. Lema amejitoa na amejitolea kwa moyo kumsaidia Nasari kushinda Ubunge. Aliwahamasisha vijana kwenye kampeni kujitokeza kupiga kura na kulinda kura zao. can you cost that? Pia alishiriki kama wakala katika moja ya vituo na alikuwa na kijana hadi matokeo yanatangazwa... Hiyo ni zaidi ya milioni kumi aliyosema.