spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GreatThinkers,
Maneno haya wala si ya Spencer,yamesemwa na Kamanda Lema akiwa Rocky City.
Nusu ya watumishi wao nje ya bunge lazima awakwapue,na hiyo ndiyo kazi anayofanya nchi nzima.
Vuteni subira wiki hii mtashangaa Lema ni shujaa na ni mtoto wa mjini.
Anasema CCM kwishney, kilichobaki proper coordination either kuwachoma moto au kuwazika wakiwa hai. Lengo kuwatokomeza.
Tegeni maskio ndani ya hii wiki hakika Lema nimemvulia kofia.
Peoplessssssssssssssssss
Maneno haya wala si ya Spencer,yamesemwa na Kamanda Lema akiwa Rocky City.
Nusu ya watumishi wao nje ya bunge lazima awakwapue,na hiyo ndiyo kazi anayofanya nchi nzima.
Vuteni subira wiki hii mtashangaa Lema ni shujaa na ni mtoto wa mjini.
Anasema CCM kwishney, kilichobaki proper coordination either kuwachoma moto au kuwazika wakiwa hai. Lengo kuwatokomeza.
Tegeni maskio ndani ya hii wiki hakika Lema nimemvulia kofia.
Peoplessssssssssssssssss