Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,828
Kwa imani tuliyonayo wanaarusha na watanzania kwa ujumla juu ya Lema na ukombozi, siku akitusaliti tutambia atafute kaburi ajizike ili tusimuone tena. MAY ALMIGHTY GOD BLESS OUR HERO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Machalii wa Arusha mkishapata supu za ulimi wa ng'ombe mnakaa kwenye vijiwe vyenu na kuanza kumsifia Lema, bila sababu kumfananisha Lema na Malema, ni sawa na kufananisha mlima Kilimanjaro na mlima Tegeta.
Inategemeana na aina ya viajana wanaobeba mabango hayo. JULIUS MALEMA mimi ninavyojua, huwa vijana wazee na makundi mbalimbali wanaacha kazi maofisini, biashara zao na kwenda kumsikiliza. Ni aibu kubwa sana kufananisha kazi anayoifanya JULIUS MALEMA kwa waafrika kusini na huyu jamaa wa arusha. LEMA ana mambo mengi sana anayojificha kupitia kivuli cha siasa. umaarufu wa LEMA hauna hata miaka miwili na kila mtu anajua kabla ya hapo alikuwa anafanyakazi gani tena kazi zinazohatarisha maisha ya raia wasiokuwa na hatia. Binafsi najua mji wa arusha unaweza kuwa wa kwanza kwa matukio ya uhalifu , so LEMA lazima atakuwa na marafiki wengi sana wanaotaka kujificha kupitia yeye na kwa maana hiyo wanaweza kuwa na ushawishi mkubwa sana kwa vijana katika kufanya fujo na ikaonekana kuwa anashangiliwa LEMA.
Machalii wa Arusha mkishapata supu za ulimi wa ng'ombe mnakaa kwenye vijiwe vyenu na kuanza kumsifia Lema, bila sababu kumfananisha Lema na Malema, ni sawa na kufananisha mlima Kilimanjaro na mlima Tegeta.
chama kitu usichokijuwa ni bora uulize, Malema hawezi kuwa maarufu kila kona South Afrika, umeshawahi kumuona Malema Cape Town? naifahamu vyema South Africa mtu maarufu nchi nzima ni Mandela peke yake.mmhhhhhhhhhhhhhhhh kuna upofu wa kuzaliwa na wa kujitakia kazi ipo! Jamani umaarufu wa Lema zaidi ya Arusha upo wapi? Si alijaribu M4C kwenye vitongoji vya Dar aliona shuguli ilivyokuwa ngumu; Malema kila kona South Africa ni gumzo na anakubalika na wengi sana acheni kufananisho mlima na kichuguu, kweli Mrisho Ngasa anacheza soka lakini kumfananisha na lionel Messi ni kichekesho na dhihaka kubwa kwa wapenzi wa soka!
Chama
Gongo la mboto DSM
Machalii wa Arusha mkishapata supu za ulimi wa ng'ombe mnakaa kwenye vijiwe vyenu na kuanza kumsifia Lema, bila sababu kumfananisha Lema na Malema, ni sawa na kufananisha mlima Kilimanjaro na mlima Tegeta.
We unacheza ,ni kama uende Mbeya ukaseme Mr II wampendao ni wa design yako.Lema anao wapinzani ndio pale Arusha.Ila Walio wake hakuna mfano.Kikwete ,baraza la mawaziri na crew nzima ya bunge alifunikwa pale Meru alipotakiwa simama ktk mazishi ya Sumari.Ni busara tuu ya CDM ilitumika Lema akatoroka kwa gari ingine na kwenda subiri familia njiani ambapo napo alipoonekana na watu walitaka aweke kajukwaa aanze hutubia.Polisi wakaanza pitisha mashambulizi.Nape aliishia sema siasa ziliingizwa Meru,badala ya kushukuru.
Kwa taarifa yako supu za ulimi, masikio, makanyagio, pua, tezi za kiume za ng`ombe na Mbuzi,utumbo ni chakula cha kaskazini na huliwa na watu kuanzia kilimanjaro hadi manyara.Unavyosema machalii unapotoka.Arusha wanaokaa bure ni wala mirungi wa CCM ,wale vijana wakao misikitini na vijiweni wanaoishi kwa kodi za nyumba za urithi na biashara za kuuza maandazi, miili, na mirungi huku wachache wakiuza nguo na used electronics wakiwa na connection na ndugu zao nje.Hawa wengi si wa Lema,kwani kwao hafai aktk kesi za nyumba zenye wakfu.
Punguza "Tantararira" kwa hiyo Msikitini hakuna wafuasi wa Chadema Arusha.
Machalii wa Arusha mkishapata supu za ulimi wa ng'ombe mnakaa kwenye vijiwe vyenu na kuanza kumsifia Lema, bila sababu kumfananisha Lema na Malema, ni sawa na kufananisha mlima Kilimanjaro na mlima Tegeta.
mmhhhhhhhhhhhhhhhh kuna upofu wa kuzaliwa na wa kujitakia kazi ipo! Jamani umaarufu wa Lema zaidi ya Arusha upo wapi? Si alijaribu M4C kwenye vitongoji vya Dar aliona shuguli ilivyokuwa ngumu; Malema kila kona South Africa ni gumzo na anakubalika na wengi sana acheni kufananisho mlima na kichuguu, kweli Mrisho Ngasa anacheza soka lakini kumfananisha na lionel Messi ni kichekesho na dhihaka kubwa kwa wapenzi wa soka!
Chama
Gongo la mboto DSM
Mr Rocky,
Sijui ni wapi nimetoa matusi dhidi ya watu Arusha, nilichosema vijana wengi wa Arusha hawana ajira ili sio tusi wa dhihaka, mfano umeuona jana mahakama kuu Arusha.
Wale vijana wafuasi wa Chadema waliokusanyika mahakama kuu ya Rufaa kanda ya Arusha, wengi hawana ajira, kama wangekuwa na ajira wala wasingekwenda kushinda mahakamani, hakuna muajiri ambaye anaweza kutoa ruksa kwa wafanyakazi wake kwenda kushinda mahakamani.
Wngekuwa kwenye miradi yao ya uzalishaji au viwandani, mashambani, wasingekuwa na muda wa kwenda kushinda mahakamani.
ameoa mkuu.....na mke wake ana mtoto mpya wa juzi juzi kati hapa......
Inategemeana na aina ya viajana wanaobeba mabango hayo. JULIUS MALEMA mimi ninavyojua, huwa vijana wazee na makundi mbalimbali wanaacha kazi maofisini, biashara zao na kwenda kumsikiliza. Ni aibu kubwa sana kufananisha kazi anayoifanya JULIUS MALEMA kwa waafrika kusini na huyu jamaa wa arusha. LEMA ana mambo mengi sana anayojificha kupitia kivuli cha siasa. umaarufu wa LEMA hauna hata miaka miwili na kila mtu anajua kabla ya hapo alikuwa anafanyakazi gani tena kazi zinazohatarisha maisha ya raia wasiokuwa na hatia. Binafsi najua mji wa arusha unaweza kuwa wa kwanza kwa matukio ya uhalifu , so LEMA lazima atakuwa na marafiki wengi sana wanaotaka kujificha kupitia yeye na kwa maana hiyo wanaweza kuwa na ushawishi mkubwa sana kwa vijana katika kufanya fujo na ikaonekana kuwa anashangiliwa LEMA.
Punguza "Tantararira" kwa hiyo Msikitini hakuna wafuasi wa Chadema Arusha.
Samahani tu mkuu wangu labda tu ungeniambia na wewe unayeshinda hapa JF huna kazi/ajira? au hapa ndio upo kazini?Mr Rocky,
Sijui ni wapi nimetoa matusi dhidi ya watu Arusha, nilichosema vijana wengi wa Arusha hawana ajira ili sio tusi wa dhihaka, mfano umeuona jana mahakama kuu Arusha.
Wale vijana wafuasi wa Chadema waliokusanyika mahakama kuu ya Rufaa kanda ya Arusha, wengi hawana ajira, kama wangekuwa na ajira wala wasingekwenda kushinda mahakamani, hakuna muajiri ambaye anaweza kutoa ruksa kwa wafanyakazi wake kwenda kushinda mahakamani.
Wngekuwa kwenye miradi yao ya uzalishaji au viwandani, mashambani, wasingekuwa na muda wa kwenda kushinda mahakamani.
mmhhhhhhhhhhhhhhhh kuna upofu wa kuzaliwa na wa kujitakia kazi ipo! Jamani umaarufu wa Lema zaidi ya Arusha upo wapi? Si alijaribu M4C kwenye vitongoji vya Dar aliona shuguli ilivyokuwa ngumu; Malema kila kona South Africa ni gumzo na anakubalika na wengi sana acheni kufananisho mlima na kichuguu, kweli Mrisho Ngasa anacheza soka lakini kumfananisha na lionel Messi ni kichekesho na dhihaka kubwa kwa wapenzi wa soka!
Chama
Gongo la mboto DSM