Yaani vibaraka utawajua tu, hata kuandika ni shida! Karibu JF, hapa tunatumia Kiswahili na Kiingereza. Watu kama Lema wanawapigania maelfu kama wewe ambao wameenda shule lakini kusoma na kuandika ni shida.huyu muhuni hajali kabisa hutu.Anataka Tz iwe kama somalia.Maandamano yasiyokuwa na tija hasa ya chadema hayawasaidii lolote maskini wa Tz.Kwanza 2meshajua huyu si mtanzania ni mungiki anayetaka kuigeuza Tanzania Afgastan.
Unafikra mgando kijana wa NAPE,Mchukue LEMA na JK wapo wapeleke ARUSHA kila mtu afanye mkutano,walahi KIKWETE akipata watu hata 50 mi nakunya sokoni,LEMA ni RAIS wa ARUSHA njoo umguse LEMA uone.ANGUKO LA CCM LIMETIMIAKuna cha ziada kutoka kwa Lema? Hapo ndipo uwezo wake na wachama chake unapoishia, truly DARUSO politics.
Wewe kunya popote upendapo, unamfananisha Kikwete na Lema? Ni sawa sawa ufananinishe KIBOSHO na DUBAIUnafikra mgando kijana wa NAPE,Mchukue LEMA na JK wapo wapeleke ARUSHA kila mtu afanye mkutano,walahi KIKWETE akipata watu hata 50 mi nakunya sokoni,LEMA ni RAIS wa ARUSHA njoo umguse LEMA uone.ANGUKO LA CCM LIMETIMIA
Kweli kabisa LEMA ndio rais wa Arusha, I bet he is smartest in the region.Unafikra mgando kijana wa NAPE,Mchukue LEMA na JK wapo wapeleke ARUSHA kila mtu afanye mkutano,walahi KIKWETE akipata watu hata 50 mi nakunya sokoni,LEMA ni RAIS wa ARUSHA njoo umguse LEMA uone.ANGUKO LA CCM LIMETIMIA
Tatizo ni upeo wako.usikubali kutumiwa na pia usikubal kuwa mchumia tumbo.huyu muhuni hajali kabisa hutu.Anataka Tz iwe kama somalia.Maandamano yasiyokuwa na tija hasa ya chadema hayawasaidii lolote maskini wa Tz.Kwanza 2meshajua huyu si mtanzania ni mungiki anayetaka kuigeuza Tanzania Afgastan.
Wewe kunya popote upendapo, unamfananisha Kikwete na Lema? Ni sawa sawa ufananinishe KIBOSHO na DUBAI
Big up KAMANDA LEMA, Kila jasho, kila sauti, kila damu, na vurugu za polisi kwenye kila maandamano ya CDM yana maana kubwa kwa ukombozi wa nchi hii, hasa kiuchumi na hasa wa mwananchi anayeitwa mkulima wakati ardhi yake imebinafsishwa kwa anayeitwa mwekezaji (in reality is mchukuaji),pia kinachofanyika hapo kinaongeza ugumu wa maisha kwa huyo mkulima. PAMOOOOOOOJJAAAAAAAA SSAAAANAAAA KAMANDA.Bunge alasiri hii Kama maandamano yanalenga kutetea haki za matanzania kamwe hayatakoma usiku na mchana na Polisi wajiandae. Hizo ni salam za Mh. Godbless Lema alsiri hii akimwaga Moto Bungeni katika kuchangia hotuba ya Waziri kivuli wa Fedha na Naibu kiongozi wa Kambi ya Upinzani. Anasisitiz endapo tutaweza kuishi kwa usawa na kujali misingi ya kidemokrasia na uwajibikaji , kamwe maandamano hayatakuwepo. Na mkitaka kuamini hilo fanyeni uchunguzi hawaandamani CDM wanaandamana wananchi waliochoshwa na udhalimu wa Serikali. Haungi mkono Bajeti
huyu muhuni hajali kabisa hutu.Anataka Tz iwe kama somalia.Maandamano yasiyokuwa na tija hasa ya chadema hayawasaidii lolote maskini wa Tz.Kwanza 2meshajua huyu si mtanzania ni mungiki anayetaka kuigeuza Tanzania Afgastan.
Acha hizo! Eti 'mungiki'! Na bado mtasema ni 'msomali' au 'mgagagigikoko' kabisa!huyu muhuni hajali kabisa hutu.Anataka Tz iwe kama somalia.Maandamano yasiyokuwa na tija hasa ya chadema hayawasaidii lolote maskini wa Tz.Kwanza 2meshajua huyu si mtanzania ni mungiki anayetaka kuigeuza Tanzania Afgastan.
Kumbuka kuvaa nguo za ndani,sio kukulupuka tu.huyu muhuni hajali kabisa hutu.Anataka Tz iwe kama somalia.Maandamano yasiyokuwa na tija hasa ya chadema hayawasaidii lolote maskini wa Tz.Kwanza 2meshajua huyu si mtanzania ni mungiki anayetaka kuigeuza Tanzania Afgastan.
Zimedumaaa kama avatar yako.Maandamano yamewafanya mpaka akili zenu zimedumaa
Bunge alasiri hii
Kama maandamano yanalenga kutetea haki za matanzania kamwe hayatakoma usiku na mchana na Polisi wajiandae. Hizo ni salam za Mh. Godbless Lema alsiri hii akimwaga Moto Bungeni katika kuchangia hotuba ya Waziri kivuli wa Fedha na Naibu kiongozi wa Kambi ya Upinzani.
Anasisitiz endapo tutaweza kuishi kwa usawa na kujali misingi ya kidemokrasia na uwajibikaji , kamwe maandamano hayatakuwepo. Na mkitaka kuamini hilo fanyeni uchunguzi hawaandamani CDM wanaandamana wananchi waliochoshwa na udhalimu wa Serikali.
Haungi mkono Bajeti