masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,857
- 13,140
Lema is history!Lema amewataja Ndg. Edward Ngoyai Lowassa, Ndg. Samweli Sitta na Ndg. Harisson George Mwakyembe kuwa ni kati ya vigogo walioomba kuhama kutoka CCM kuja CDM.
Source:
Nimehudhuiria mkutano wake wa jana!
Kwa Sitta na Mwakyembe kuhama CCM ni sawa na kituambia mto Pangani utabadili njia na kupanda mlima Kilimanjaro.
Mliokuwa mnafikiri Lema ni kichwa shuhudieni huo uozo.