anaingilia uhuru wa jeshi la polisi, wacha naye atulie huku tukimwomba mungu amponyeshe mapema dr. Ulli aje awataje waliomteka na kumuumiza.
Pole kama imekugusa ila sina nia ya kubishana na wewe LEMA NI MBAYUWAYU DHOOFU
haya ni mawazo ya akili za matope.
Gongo la Mboto..upo?
Hatuwezi kuja huko nchi jirani,maana tusije tukaolewa na magamba kama mwenzetu ulivyoamua kujisalimisha....Nimekuelewa kwakuwa uamsho hawataki muungano chadema pia hawataki muungano..OK asante kwa clarification
OK msije kabisa Zanzibar msipoteza muda wenu bure..si zanzibar ni kama arusha??
oops kweli huko cdm kuna viazi..
Usitumie lugha kama hii ndugu yangu. vita ni mbaya , mbaya, mbaya sana Mtanzania mwenzangu. Omba Mungu aepushe nchi isifike huko. Ogopa vita, Ogopa njaa. Omba Mungu tusifike huko
toka lini jambazi akaweza siasa? Kama ni jembe lenu kweli basi hamna watu.
Lema ni kamanda msifikiri na yeye mnaweza kumteka..hivi sasa kila mtu atakua anatembea na kisu..ili tujihami na utekaji
Hana ukamanda wowote, muulize alipokuwa mahabusu alifanywa nini, mbona huwa hasemi? hana ujanja wowote zaidi ya kuwa kibaraka wa mbawa ambaye ndo kisemeo chake yeye na siyo vinginevyo. Halafu ohhhhhhhhh demokrasi shame on you purppets of mbawa
Na kwamba kuna mkono Sa serikali Hilo halina mjadalaSuala la Dr Ulimboka unamsubiri Lema akuambie wakati inajulika wazi ACP Hemed Msangi ndiye mhusika mkuu.
Jela hukaa watu tena wapigania haki na Wanaume wa shoka, inaonekana wewe unaogopa jela ila wizi unaiba sana, siku yao ipo inakuja subiri, kiswahili chenyewe shida njaa inakusumbua sasa Mbawa ni nini?~~