Meitinyiku L. Robinson
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 412
- 90
Cha msingi mpeni pole na aendelee kufarijiwa na mumjengee mazingira mazuri ya kupokea rufaa yake . Mhe Othman Chande anasema he is fit and ready kuihalalisha judgement ya Mahakama Kuu.
mbona hakuna maamdalizi yoyote pale kinacho jengwa ni ule mtaro wa maji machafu unaoanzia soko kuu mpaka bwawa la mavi..