Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Nadhani Lema na CDM wangeachana na mkutano huu, just for this week. Common sense ndio inaniambia hivyo.
Ghetto lenyewe hili hapa
Nadhani Lema na CDM wangeachana na mkutano huu, just for this week. Common sense ndio inaniambia hivyo.
Kuna uzi humu nadhani umefutwa inasemekana Lema anajenga nyumba Mbagala kwa pesa za M4C katafuna milioni 70.
Anaongea kwa capacity gani? Yeye siyo mbunge sasa hivi kwahiyo hana wapiga kura.
Frustration zinamuhukumu huyo. Full bench ndiyo inayosikiliza kesi ikiongozwa na Jaji Mkuu sasa kwa kutokujua kwake anajaribu kutafuta namna hukumu iwe ya huruma kwa kufanya mkutano.
Halafu jamaa wanasema anazungumza na wapiga kura wake huyo alishajipotezea sifa ya kuwa na wapiga kura kitambo labda aende December Bar na Babelon au Pin Point ama pale Philips.
Kwanza aliyewahi kuwa dereva wake anasema Lema analalamika kuwa chama kimwmtelekeza na kimekuwa kikimwezesha mara chache sana katika mikutano. Kwa hili atakuwa kawezeshwa kweli????
Mnasema atakuwepo Lema na huyo mwenzie wenye mtizamo sawa; kwa hiyo vile vichwa vya CDM havitakuwepo manake wengine tungekuja tu kuwasikiliza kwa kuwa wako timamu (JJ Mnyika, ZZ Kabwe, Mhe. FA Mbowe.......) Huyu Lema na mwenzie watakufaeni ninyi wa type zao meku......
Aendelee kuwa na subira palipoa mama Kimaro hapaharibiki neno....
Nadhani Lema na CDM wangeachana na mkutano huu, just for this week. Common sense ndio inaniambia hivyo.
siku moja kabla ya rufaa ya Godbless Lema, kutakuwa na mkutano mktano mkubwa kwenye uwanja wa kujidai NMC utakao ongozwa na Lema, Joshua Nasari sambamba nauongozi wa mkoa arusha. wakati huo huo jeshi la polisi limeonekana kuingia kiwewe na kuanza kutishia kuuzuia mkutano huo bila kutoa sababu...
Frustration zinamuhukumu huyo. Full bench ndiyo inayosikiliza kesi ikiongozwa na Jaji Mkuu sasa kwa kutokujua kwake anajaribu kutafuta namna hukumu iwe ya huruma kwa kufanya mkutano.
Halafu jamaa wanasema anazungumza na wapiga kura wake huyo alishajipotezea sifa ya kuwa na wapiga kura kitambo labda aende December Bar na Babelon au Pin Point ama pale Philips.
Kwanza aliyewahi kuwa dereva wake anasema Lema analalamika kuwa chama kimwmtelekeza na kimekuwa kikimwezesha mara chache sana katika mikutano. Kwa hili atakuwa kawezeshwa kweli????
Mnasema atakuwepo Lema na huyo mwenzie wenye mtizamo sawa; kwa hiyo vile vichwa vya CDM havitakuwepo manake wengine tungekuja tu kuwasikiliza kwa kuwa wako timamu (JJ Mnyika, ZZ Kabwe, Mhe. FA Mbowe.......) Huyu Lema na mwenzie watakufaeni ninyi wa type zao meku......
Aendelee kuwa na subira palipoa mama Kimaro hapaharibiki neno....
Chama hakija mtupa Lema kwa kuzihilisha hilo hata pale Lema alipokula pesa ya M4C alioifanya Dar chama kimekaa kimya.
Pika katika mkutano wa NMC kutakuwa na Rais na waziri mkuu wa nchi ya kaskazini according to Joshua Nassari.
Bravo makamanda wa M4c.
Si asubiri rufaa itoke kwanza? anaweza kuumbuka ati!!!
Chama hakija mtupa Lema kwa kuzihilisha hilo hata pale Lema alipokula pesa ya M4C alioifanya Dar chama kimekaa kimya.
Pika katika mkutano wa NMC kutakuwa na Rais na waziri mkuu wa nchi ya kaskazini according to Joshua Nassari.
Bravo makamanda wa M4c.
Mbona Lema akitajwa watu mnababaika sana!