OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Arusha ndio kiini cha harakati! kila mapambano huwa yana focal point ndio yanasambaa kama Benghazi vile! au Tahrir square huo ndio mfano wa Arusha, na pia Lema ni mkaazi wa Arusha! maandamano yatasambaa nchi nzima yakitokea Arusha! salvation shall come from North!!Lema anaandaa maandamano kama nani, kama suala la kutetea wafungwa halihitaji maandamano ama ndio kampeni zimeanza; na kwanini iwe Arusha? kwanini asiende kama mkoa wa Pwani, Morogoro au Tanga? Kote kuna wafungwa ama wafungwa wa Arusha ni bora zaidi?
Chama
Gongo la Mboto DSM