damper
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 766
- 827
Huyu huyu Godbles Lema!! Basi atakuwa ana tatizo nakumbuka ile "fungeni milango zipigwe" nadhani anafaa kwenye ile serikali ya CDM itakapochukua madaraka apewe wizara ya mambo ya ndani ili ayafanye anayoyataka leo.
Mungu akijalia hata mimi nitakua JAMBAZI kipindi hicho.
Mungu akijalia hata mimi nitakua JAMBAZI kipindi hicho.