We ni mkaali !!yani kuguswa kwa Lema tu umeruka utadhani umeguswa masaburi Duuuuh!!Lema ni jembe la kutisha, sisi ambao mara kwa mara tunakuwa arusha ndo tunamjua lema ni nan na umuhimu wake, but kwako wewe mwenye mawazo ya kibakwata na chuki binafsi juu lema tunakuona ni wakuja 2 tena ni gamba, si mlisema lema asikanyage meru? Huku mkimuogopa, mtawachafua wangap? Nyerere kashawapiga bao na mshalowa huko chini sasa tena mnarudi kwa lema, ha ha ha ha ha
shame on you.
Hahahaha!....Mkuu Memo una kibali cha kutumia hiyo picha ya Steven Wassira?:crazy:
Baada yakumuumbua wazir mkuu mjengoni,imebainika ana kesi ya kujibu huku ishu ya "mama mdogo" ikiwa ni chambo,Lema siku za karibuni arumeru ameonekana mnyonge huku zile mbwembwe zake zikipungua sana,tusubiri tuone chezo
Wana-JF huyu ni mdogo wake na mh. wasi a wana fanana kama mayai
Kama wewe unavyo ruka kama umekuswa kwenye choo...We ni mkaali !!yani kuguswa kwa Lema tu umeruka utadhani umeguswa masaburi Duuuuh!!
Wanafanana kweli, mwanzoni nilidhani ndie Mh kumbe mdogo wake..Wana-JF huyu ni mdogo wake na mh. wasi a wana fanana kama mayai
Hivi wabunge waliofariki, halafu hawajamaliza kulipa ule mkopo wa 200m pamoja na gari 90m(Total 290m), inakuwaje? sheria inasemaje kuhusu hilo?
Baada yakumuumbua wazir mkuu mjengoni,imebainika ana kesi ya kujibu huku ishu ya "mama mdogo" ikiwa ni chambo,Lema siku za karibuni arumeru ameonekana mnyonge huku zile mbwembwe zake zikipungua sana,tusubiri tuone chezo
Crashwise,Wana-JF huyu ni mdogo wake na mh. wasi a wana fanana kama mayai
NonsenseBaada yakumuumbua wazir mkuu mjengoni,imebainika ana kesi ya kujibu huku ishu ya "mama mdogo" ikiwa ni chambo,Lema siku za karibuni arumeru ameonekana mnyonge huku zile mbwembwe zake zikipungua sana,tusubiri tuone chezo
Lema ni jembe la kutisha, sisi ambao mara kwa mara tunakuwa arusha ndo tunamjua lema ni nan na umuhimu wake, but kwako wewe mwenye mawazo ya kibakwata na chuki binafsi juu lema tunakuona ni wakuja 2 tena ni gamba, si mlisema lema asikanyage meru? Huku mkimuogopa, mtawachafua wangap? Nyerere kashawapiga bao na mshalowa huko chini sasa tena mnarudi kwa lema, ha ha ha ha ha
shame on you.
Mkuu hii passport size ya Wassira umeipata wapi?
Mgonjwa???.. Sitaki kuamini, Wasira anajitia hamnazo kwasababu ya tamaa ya pesa na madaraka, wacha apate anachostahili...Crashwise,
Simpendi Wasira kwa hoja zake za uzandiki kama ile aliyompandikizia Dr Slaa kuiba na kufukuzwa upadre. Lakini siwezi kuihusisha chuki hiyo na sura yake. I have seen him some years back when he was struggling to register his Political party, hakuwa hivi alivyo. Bila shaka anasumbuliwa na ugonjwa fulani, na kwa muungwana, huwezi kumcheka mtu mwenye maradhi kwa kuwa tu wewe una afya njema. You never know, pengine hata haya anayoyafanya inaweza kuwa matokeo ya madhara ya ugonjwa unaomsumbua. The best we can do is pray for him.