Aliyeombwa mwongozo ni Spika, huyo mama ndiye tunasubiri mwongozo wake mtu mzito kama waziri mnene anapolidanganya bunge. Vicent Nyerere au mbunge yeyote wa CDM atukumbushie hilo kwa Makinda kwani naona wameamua kulipotezea kwa kuwa Lema haayuko mjengoni.Ikumbukwe hata Pinda haja mjibu licha ya kusaidiwa na Anna kinda....