Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Lema lema!hivi hamkujua!hivi kiukweli kaifanyia nini arusha zaidi ya kuuza maneno!mjini hapa!yaani sisi tutaendelea kupiga marck time lakini hakuna mtu mwenye dhamira ya kweli ya kutuendeleza!
Napendekeza tumchangue mama yako au baba yako agombee ubunge hao watakuwa na dhamira za dhati kutuendeleza... maana lema kawa mbunge kwa muda usiao zidi miezi 16 huku akifunguliwa kesi chungu mzima na bado tuna mhukumu..