Lema katutapeli shamba aliloomba kwa ajili ya kujenga hospital ya wazazi

Lema lema!hivi hamkujua!hivi kiukweli kaifanyia nini arusha zaidi ya kuuza maneno!mjini hapa!yaani sisi tutaendelea kupiga marck time lakini hakuna mtu mwenye dhamira ya kweli ya kutuendeleza!
 
magamba bwana,kila siku majungu.Ina maana bado hamjapata dawa ya kumdhibiti lema. God bless Godbless Lema.

by Ritts- Juzi walijimilikisha vyeo huko uvccm hilo hawajalizungumzia hivyo ili kupotezea hiyo kadhia wamekuja na ishu ya Lema
 
Shamba aliloomba lema kwa ajili ya kujenga hospital ya wazazi amejimilikisha kwa jina lake mbali na trector alilosema atawakabidhi wakulima wa terati.hati ya kiwanja hicho ntaiweka hapa nafuatilia hapa muda sio niko halmashauri ya arumeru nafuatilia.

Aliahidi umiliki utakuwa chini ya nani? kwa sababu hata hospitali ya wazazi inaweza kuwa chini ya mtu binafsi na ikatoa huduma kwa wazazi. hapo mi sioni Ufisadi wowote
 
Shamba aliloomba lema kwa ajili ya kujenga hospital ya wazazi amejimilikisha kwa jina lake mbali na trector alilosema atawakabidhi wakulima wa terati.hati ya kiwanja hicho ntaiweka hapa nafuatilia hapa muda sio niko halmashauri ya arumeru nafuatilia.

By Ritts--pamoja na kufuatilia utuweke wazi ni shamba au kiwanja na kinapakana na nani toka kask, kus,mash,na magharibi hili jukwaa sio la porojo jamani
 
Shamba aliloomba lema kwa ajili ya kujenga hospital ya wazazi amejimilikisha kwa jina lake mbali na trector alilosema atawakabidhi wakulima wa terati.hati ya kiwanja hicho ntaiweka hapa nafuatilia hapa muda sio niko halmashauri ya arumeru nafuatilia.


Vilaza bana
 
Wana Wa Nchi,
Awali ya yote napenda sana kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuweza kutujaalia uhai,
Nimeisoma na kuielewa vema mada yako ndugu Lengio, wenye kichwa cha habari "Lema katupapeli shamba alilo omba kujenga hospital ya Wazazi"
Napenda kueleza mambo machache ambayo yatakuwa na umuhimu kwetu na taifa kwa ujumla, na hasa kuondoa uvumi huu ambao hauna tija kwa taifa na ambao umekuwa ukienezwa na watu wenye fikra mgando, awali ya yote naomba kueleza kwamba mimi ni mmoja wa Waasisi wa Taasisi ya Maendeleo ya jimbo la Arusha mjini,(Arusha Development Foundation -ArDF) Naitwa Kamanda Magoma Jr Magoma, kwa sasa ni Mkurugenzi wa Elimu na Afya katika taasisi ya ArDF, (nikiwa na jukumu kubwa la kuhakikisha tunafanikiwa kutimiza malengo ya taasisi ya ArDF katika nyanja za Afya na Elimu) kama ambavyo mleta mada ameeleza bila kuwa na haya wala soni hata tone kwa kufanya upotoshaji wa hali ya juu bila kupima madhara yake kwa jamii kwamba "Lema katutapeli shamba alio omba kujenga hospital ya Wazazi". Napenda nileezee historia ya awali ambayo ninahisi wanachi wengi hasa waishio nje ya Arusha hawaifahamu na wangependa kuifahamu, mwaka 2010 katika kampeni za uchaguzi mkuu Kamanda Lema aliahidi kwamba atajenga Hospitali ya mama na mtoto katika jimbo la arusha mjini endapo atapewa dhamana ya kuliwakilisha jimbo la Arusha mjini katika bunge la Jamuhuni ya Muungano wa Tanzania, kamanda Godbless Lema alisema "ili kuondoa adha ya huduma za afya kwa mama na mtoto, hasa ikizingatia kuwepo kwa msongamano na wagonjwa katika hostpitali ya Mkoa wa Arusha(Mount Meru) mkinichagua nitajenga hostiptali ya mama na mtoto" baada ya kamanda Lema kushinda alikutana na wadau wengine wa maendeleo katika jimbo la Arusha na kuamua kuanzisha Taasisi ya Maendeleo ya jimbo la arusha (ArDF) aidha moja na malengo ya msingi ya ArDF ni kujenga hospitali ya mama na mtoto, hivyo ili kuweza kufanikisha malengo ya kujenga hospitali kiwanja ni semehu ya vitu muhimu katika utekelezaji wa ujenzi, hivyo wadau wa Maendeleo walitupatia eneo la ukubwa wa Hekari tano katika eneo la Burka, na ili kuweka kumbukumbu sahihi kiwanja hicho kiko chini ya ArDF kikiwa kinasimaniwa na Mama na Mtoto Foundation (Taasisi tanzu ya ArDF) na kwamba si kweli kiwanja hicho kinamilikuwa na Kamanda Godbless Lema na wala hakijabadilishwa umiliki wake wa awali kama ambavyo ndugu Lengio atanaka kuupotosha umma, hivyo napenda kuwajulisha kwamba alicho andika ndugu Lengio ni uongo na hali ya juu na ni uposhaji uliopiliza mipaka. Chadema ni chama chenye viongozi makini wenye lengo la dhati la kuijenga Tanzania, aidha nichukue fursa hii kuwajulisha wanachi wa Arusha kwamba tumekuwa tukiwasiliana na wadau na wataalum wa Afya na baada ya muda tutaanza ujenzi wa Hospitali ya mama na watoto, ikisimamiwa na Mama na Mtoto Foundation. "Umoja Wetu ndio Silaha yetu"
Naomba kuwasilisha,
Asanteni Wana JF.
Kamanda Magoma Jr Magoma
(Mkurugenzi wa Elimu na Afya ArDF)
(M/Kiti Mstaafu CHADEMA Wilaya Arusha Mjini)
 
Jamaa vipi matumaini ya kurudi mjengoni yamefifia nini? Naona njaa kali mtaani sasa anahaha kuuza mali za familia na za jimbo teh teh teh

Kwani kakwambia ana njaa na ungemsaidia nini na kama kauza kiwanja inakuuma nini au na wewe unataka kiwanja
 
Umeona eh mkuu huyu jamaa bonge la tapeli hela za M4C amepewa muda wa kuzirudisha.Mtu mwenyewe la saba kwanini asiishi kiujanja ujanja mkopo wa gari wenyewe unamsumbua.
Huyo ni msanii kama wasani wenzie wa CHADEMA.
By the way wajinga ndio waliwao.
 
Wana Wa Nchi,
Awali ya yote napenda sana kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuweza kutujaalia uhai,
Nimeisoma na kuielewa vema mada yako ndugu Lengio, wenye kichwa cha habari “Lema katupapeli shamba alilo omba kujenga hospital ya Wazazi”
Napenda kueleza mambo machache ambayo yatakuwa na umuhimu kwetu na taifa kwa ujumla, na hasa kuondoa uvumi huu ambao hauna tija kwa taifa na ambao umekuwa ukienezwa na watu wenye fikra mgando, awali ya yote naomba kueleza kwamba mimi ni mmo
 
Wana Wa Nchi,
Awali ya yote napenda sana kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuweza kutujaalia uhai,
Nimeisoma na kuielewa vema mada yako ndugu Lengio, wenye kichwa cha habari “Lema katupapeli shamba alilo omba kujenga hospital ya Wazazi”
Napenda kueleza mambo machache ambayo yatakuwa na umuhimu kwetu na taifa kwa ujumla, na hasa kuondoa uvumi huu ambao hauna tija kwa taifa na ambao umekuwa ukienezwa na watu wenye fikra mgando, awali ya yote naomba kueleza kwamba mimi ni mmoja wa Waasisi wa Taasisi ya Maendeleo ya jimbo la Arusha mjini,(Arusha Development Foundation -ArDF) Naitwa Kamanda Magoma Jr Magoma, kwa sasa ni Mkurugenzi wa Elimu na Afya katika taasisi ya ArDF, (nikiwa na jukumu kubwa la kuhakikisha tunafanikiwa kutimiza malengo ya taasisi ya ArDF katika nyanja za Afya na Elimu) kama ambavyo mleta mada ameeleza bila kuwa na haya wala soni hata tone kwa kufanya upotoshaji wa hali ya juu bila kupima madhara yake kwa jamii kwamba “Lema katutapeli shamba alio omba kujenga hospital ya Wazazi”. Napenda nileezee historia ya awali ambayo ninahisi wanachi wengi hasa waishio nje ya Arusha hawaifahamu na wangependa kuifahamu, mwaka 2010 katika kampeni za uchaguzi mkuu Kamanda Lema aliahidi kwamba atajenga Hospitali ya mama na mtoto katika jimbo la arusha mjini endapo atapewa dhamana ya kuliwakilisha jimbo la Arusha mjini katika bunge la Jamuhuni ya Muungano wa Tanzania, kamanda Godbless Lema alisema “ili kuondoa adha ya huduma za afya kwa mama na mtoto, hasa ikizingatia kuwepo kwa msongamano na wagonjwa katika hostpitali ya Mkoa wa Arusha(Mount Meru) mkinichagua nitajenga hostiptali ya mama na mtoto” baada ya kamanda Lema kushinda alikutana na wadau wengine wa maendeleo katika jimbo la Arusha na kuamua kuanzisha Taasisi ya Maendeleo ya jimbo la arusha (ArDF) aidha moja na malengo ya msingi ya ArDF ni kujenga hospitali ya mama na mtoto, hivyo ili kuweza kufanikisha malengo ya kujenga hospitali kiwanja ni semehu ya vitu muhimu katika utekelezaji wa ujenzi, hivyo wadau wa Maendeleo walitupatia eneo la ukubwa wa Hekari tano katika eneo la Burka, na ili kuweka kumbukumbu sahihi kiwanja hicho kiko chini ya ArDF kikiwa kinasimaniwa na Mama na Mtoto Foundation (Taasisi tanzu ya ArDF) na kwamba si kweli kiwanja hicho kinamilikuwa na Kamanda Godbless Lema na wala hakijabadilishwa umiliki wake wa awali kama ambavyo ndugu Lengio atanaka kuupotosha umma, hivyo napenda kuwajulisha kwamba alicho andika ndugu Lengio ni uongo na hali ya juu na ni uposhaji uliopiliza mipaka. Chadema ni chama chenye viongozi makini wenye lengo la dhati la kuijenga Tanzania, aidha nichukue fursa hii kuwajulisha wanachi wa Arusha kwamba tumekuwa tukiwasiliana na wadau na wataalum wa Afya na baada ya muda tutaanza ujenzi wa Hospitali ya mama na watoto, ikisimamiwa na Mama na Mtoto Foundation. “Umoja Wetu ndio Silaha yetu”
Naomba kuwasilisha,
Asanteni Wana JF.
Kamanda Magoma Jr Magoma
(Mkurugenzi wa Elimu na Afya ArDF)
(M/Kiti Mstaafu CHADEMA Wilaya Arusha Mjini)

thanx kamanda Derick Magoma.ALIETUMA HII THRID NI Looser mkuu ,hongera kwa kutuelimisha pale Baraa juzi bwana.
 
Achana nae huyo wala hana jipya.................siasa za majitaka hizi!

Taarifa hizi ni za ukweli kila mwana arusha anajua lema alivyopata ubunge tu alisema ameomba kiwanja burka kwa ajili ya kujenga hosptal ya wazazi na tukafanya kikao wanachama wa cdm tuwe tunakatwa kiasi kwenye mitandao ya simu kwa ajili ya kujenga hiyo hosp nanyaro mwenyewe anajua mwenyekiti wa mkoa anajua pia naanda ushaidi ntautoa wote.mi cdm na sihami mi ni mwanachama tangu 1992 tarehe 10 mwezi 8 mara tu baada ya kuanza vyama vingi.nawahikikishia godbes lema ni bomu.michango mingapi anakula wacha ya M4C.
 
Nyie wana cdm mna matatizo sana ni hosipitali gani iliowahi ktjengwa na pesa za vocha.Ina maana nyie mlishindwa nn mpaka msubiri kamanda Lema awaambie mchange na mbona hamkuchanga basi na kam hujaridhika na majibu ya Jr nina wacwac huenda umetumwa na yule jamaa yenu mwenye sura ya sokwe
 
Taarifa hizi ni za ukweli kila mwana arusha anajua lema alivyopata ubunge tu alisema ameomba kiwanja burka kwa ajili ya kujenga hosptal ya wazazi na tukafanya kikao wanachama wa cdm tuwe tunakatwa kiasi kwenye mitandao ya simu kwa ajili ya kujenga hiyo hosp nanyaro mwenyewe anajua mwenyekiti wa mkoa anajua pia naanda ushaidi ntautoa wote.mi cdm na sihami mi ni mwanachama tangu 1992 tarehe 10 mwezi 8 mara tu baada ya kuanza vyama vingi.nawahikikishia godbes lema ni bomu.michango mingapi anakula wacha ya M4C.


Mnafiki wewe.......mwana CDM gani kilaza kama wewe???......kama ni kweli uyasemayo na una ushahidi wote huo kwanini usipeleke kwenye vikao vya chama??? Wewe umetumwa wala huna lolote
 
Wana Wa Nchi,
Awali ya yote napenda sana kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuweza kutujaalia uhai,
Nimeisoma na kuielewa vema mada yako ndugu Lengio, wenye kichwa cha habari "Lema katupapeli shamba alilo omba kujenga hospital ya Wazazi"
Napenda kueleza mambo machache ambayo yatakuwa na umuhimu kwetu na taifa kwa ujumla, na hasa kuondoa uvumi huu ambao hauna tija kwa taifa na ambao umekuwa ukienezwa na watu wenye fikra mgando, awali ya yote naomba kueleza kwamba mimi ni mmoja wa Waasisi wa Taasisi ya Maendeleo ya jimbo la Arusha mjini,(Arusha Development Foundation -ArDF) Naitwa Kamanda Magoma Jr Magoma, kwa sasa ni Mkurugenzi wa Elimu na Afya katika taasisi ya ArDF, (nikiwa na jukumu kubwa la kuhakikisha tunafanikiwa kutimiza malengo ya taasisi ya ArDF katika nyanja za Afya na Elimu) kama ambavyo mleta mada ameeleza bila kuwa na haya wala soni hata tone kwa kufanya upotoshaji wa hali ya juu bila kupima madhara yake kwa jamii kwamba "Lema katutapeli shamba alio omba kujenga hospital ya Wazazi". Napenda nileezee historia ya awali ambayo ninahisi wanachi wengi hasa waishio nje ya Arusha hawaifahamu na wangependa kuifahamu, mwaka 2010 katika kampeni za uchaguzi mkuu Kamanda Lema aliahidi kwamba atajenga Hospitali ya mama na mtoto katika jimbo la arusha mjini endapo atapewa dhamana ya kuliwakilisha jimbo la Arusha mjini katika bunge la Jamuhuni ya Muungano wa Tanzania, kamanda Godbless Lema alisema "ili kuondoa adha ya huduma za afya kwa mama na mtoto, hasa ikizingatia kuwepo kwa msongamano na wagonjwa katika hostpitali ya Mkoa wa Arusha(Mount Meru) mkinichagua nitajenga hostiptali ya mama na mtoto" baada ya kamanda Lema kushinda alikutana na wadau wengine wa maendeleo katika jimbo la Arusha na kuamua kuanzisha Taasisi ya Maendeleo ya jimbo la arusha (ArDF) aidha moja na malengo ya msingi ya ArDF ni kujenga hospitali ya mama na mtoto, hivyo ili kuweza kufanikisha malengo ya kujenga hospitali kiwanja ni semehu ya vitu muhimu katika utekelezaji wa ujenzi, hivyo wadau wa Maendeleo walitupatia eneo la ukubwa wa Hekari tano katika eneo la Burka, na ili kuweka kumbukumbu sahihi kiwanja hicho kiko chini ya ArDF kikiwa kinasimaniwa na Mama na Mtoto Foundation (Taasisi tanzu ya ArDF) na kwamba si kweli kiwanja hicho kinamilikuwa na Kamanda Godbless Lema na wala hakijabadilishwa umiliki wake wa awali kama ambavyo ndugu Lengio atanaka kuupotosha umma, hivyo napenda kuwajulisha kwamba alicho andika ndugu Lengio ni uongo na hali ya juu na ni uposhaji uliopiliza mipaka. Chadema ni chama chenye viongozi makini wenye lengo la dhati la kuijenga Tanzania, aidha nichukue fursa hii kuwajulisha wanachi wa Arusha kwamba tumekuwa tukiwasiliana na wadau na wataalum wa Afya na baada ya muda tutaanza ujenzi wa Hospitali ya mama na watoto, ikisimamiwa na Mama na Mtoto Foundation. "Umoja Wetu ndio Silaha yetu"
Naomba kuwasilisha,
Asanteni Wana JF.
Kamanda Magoma Jr Magoma
(Mkurugenzi wa Elimu na Afya ArDF)
(M/Kiti Mstaafu CHADEMA Wilaya Arusha Mjini)

Weka nakala ya hati hapa jamvini ili kuondoa majungu.
 
Back
Top Bottom