Lema, Heche na Mabere Marando kufanya mkutano mkubwa wa hadhara (M4C) Jimbo la Segerea [Jumapili]

Nasikia baada ya kusikia pilau litakuwepo kwenye zoezi la sensa mmeanza kulegeza Uzi

Mie nilisikia biriani ya ndizi ndiyo itakuwepo. Kaskazini hawataki kushindwa nasikia siku hizi kuna biriani ya ndizi.

Kiswahili sahihi ni Kuregeza sio "kulegeza".

Hapa panahitajika mjuvi wa Kiswahili, japo mie naamini kiswahili sahihi hapo ni "KULEGEZA"
 
Hapa panahitajika mjuvi wa Kiswahili, japo mie naamini kiswahili sahihi hapo ni "KULEGEZA"

Aspirin, uko sawa kabisa. sihitaji hata kutafuta mtaalam wa kiswahili. neno sahihi ni KULEGEZA! Huyo Zomba ni zoba tu. arudie darasa la pili
 
Baada ya hapo, Nape anatia timu jpili ya tarehe 24/6/2012.
Nawaomba kina Lema mpatieni Nape ratiba yenu ili nae ajipange. Mnamtesa huyo kijana, najua hapendi surprises, ndo maana anakurupuka sana ktk mikutano yake.
 
safi sanaa..sie leo tupo huku iringa tunaendeleza mashambulizi kata ya kihesa makamanda wote wapo
m4c forever
 

Aspirin, uko sawa kabisa. sihitaji hata kutafuta mtaalam wa kiswahili. neno sahihi ni KULEGEZA! Huyo Zomba ni zoba tu. arudie darasa la pili
Nadhani zomba atakusoma hapa na atajirekebisha. Kiswahili ni lugha ya Taifa.
 
Last edited by a moderator:
Hata Wakoloni walimwambia Nyerere muda wa Tanganyika kujitawala wenyewe haujafika ukifika tutawapa, walitaka mpaka mwaka 1999 ndio watupe uhuru wetu, lakini watanganyika kwa kushirikiana na Nyerere hawakukubali na mwaka 1961 kikaeleweka. Amka mtanzania acha kujifanya kuwa huna ubongo ila una uji wa ulezi kichwani.

Baba V 'likes' this!
 
Mie nilisikia biriani ya ndizi ndiyo itakuwepo. Kaskazini hawataki kushindwa nasikia siku hizi kuna biriani ya ndizi.

Kiswahili sahihi ni Kuregeza sio "kulegeza".

He! Kuregeza?? Basi mi sikijui kiswahili hadi hii leo
 
Neno sahihi ni kulegeza sijui kuregeza umeitoa wapi labda Ngazija usituharibie lugha yetu ya taifa.

Mie nilisikia biriani ya ndizi ndiyo itakuwepo. Kaskazini hawataki kushindwa nasikia siku hizi kuna biriani ya ndizi.

Kiswahili sahihi ni Kuregeza sio "kulegeza".
 
Imani yako si sahihi, ni regeza si legeza.
Hebu wasome watanzania wenzangu hapa chini...

Neno sahihi ni kulegeza sijui kuregeza umeitoa wapi labda Ngazija usituharibie lugha yetu ya taifa.

He! Kuregeza?? Basi mi sikijui kiswahili hadi hii leo


Aspirin, uko sawa kabisa. sihitaji hata kutafuta mtaalam wa kiswahili. neno sahihi ni KULEGEZA! Huyo Zomba ni zoba tu. arudie darasa la pili
 
Hebu wasome watanzania wenzangu hapa chini...

Si Watanzania wote ambao lugha "mama" kwao ni Kiswahili, wengi wao ni lugha ya pili. Mimi lugha mama kwangu ni Kiswahili, kwa hiyo hunambii lolote kuhusu hili, nnajuwa na nna uhakika, regeza mwendo, regeza kamba, regeza kiuno, sio "legeza".

Msikurupuke.
 
Nadhani zomba atakusoma hapa na atajirekebisha. Kiswahili ni lugha ya Taifa.

Inabidi wewe na hao wenzako mjirekebishe, neno sahihi ni regeza na si "legeza".

Nakuhakikishia ni regeza tena ni kwa asili na fasili yake.
 
Kati yangu mimi na wewe nani kakurupuka ?.

Wewe uliyekurupuka, mimi Kiswahili ni lugha mama kwangu, wewe jee?

Want to know where Regeza Mwendo in Zanzibar Urban, Tanzania is located? Find out here.
 
Wewe uliyekurupuka, mimi Kiswahili ni lugha mama kwangu, wewe jee?

Want to know where Regeza Mwendo in Zanzibar Urban, Tanzania is located? Find out here.

Haya turudi kwenye mada.....Kesho makamanda wanakamu Segerea, njoo ujivue Gamba uvae Gwanda.
 
Nazani sasa wamesha anza kuona faida na hasara ya lema kutokuwa bungeni.Nawatakia kila lakheri makamanda
 
Back
Top Bottom