Mbunge wa ARUSHA MJINI mh Godbless lema baada ya safari za Nzega na Igunga, ametua jijini Arusha na kuwasha moto wa pekee kwa wanafunzi wa chuo cha uhasibu kilichopo Njiro jijini humo.
Ufunguzi wa tawi hilo ulifana kweli kweli pale wanafunzi wapatao 1243 kupokea kadi za CHADEMA na wanafunzi zaidi ya 90 kurudisha kadi za CCM na kuangusha kilio huku wakimwambia LEMA tumetubu kwakufanya dhambi kubwa sana kuwa CCM sasa leo tumeamua kuondoka rasmi kwenye dhambi hizo na tunatumaini Mungu atasikia ombi letu na kutusamehe.
Naye lema akawaambia wanafunzi hawo yakuwa sasa ni wakati wa mabadiliko na kwamba kazi ya msingi ya wasomi si kusoma ilikupata ajira bali kuelewa maarifa ili kuisadia jamii.
Ufunguzi wa tawi hilo ulifana kweli kweli pale wanafunzi wapatao 1243 kupokea kadi za CHADEMA na wanafunzi zaidi ya 90 kurudisha kadi za CCM na kuangusha kilio huku wakimwambia LEMA tumetubu kwakufanya dhambi kubwa sana kuwa CCM sasa leo tumeamua kuondoka rasmi kwenye dhambi hizo na tunatumaini Mungu atasikia ombi letu na kutusamehe.
Naye lema akawaambia wanafunzi hawo yakuwa sasa ni wakati wa mabadiliko na kwamba kazi ya msingi ya wasomi si kusoma ilikupata ajira bali kuelewa maarifa ili kuisadia jamii.