Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Tunaomba ratiba za mikutano ya M4C maana tunataka kuhudhuria kuwasikiliza wakati wa ziara hii muhimu ya viongozi. Mwenye kuwa nayo tafadhali sana.
Hii itawasaidia na CCM kuanza kufuta nyayo za CHADEMA au kujipanga kwa kujua Lema anakuja kama walivyofanya tabata kuwahamisha waathirika wa mafuriko..