IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,314
hakuna kulala mpaka kieleweke
Yaani hawana uwezo tu wa kumzuia kufanya siasa maana kitu alichowafanya hapa Arusha na mwanza..watakuwa wanajutia Ikulu kumvua ubunge...
ADC iko wapi hata kwenye magazeti ya Shigongo haisikiki.. Acha unafiki wa kule kwenu visiwani.
Asipozunguka mitaani mkono hauendi kinywani maana ubunge chali! mwacheni ajitafutie riziki.
Asipozunguka mitaani mkono hauendi kinywani maana ubunge chali! mwacheni ajitafutie riziki.
kwanini asilipwe ataitunzaje familia yake?jamani majungu hayatakusaidia. Unadhani Nape na wengine wanafanya kazi za chama bila malipo??
Asipozunguka mitaani mkono hauendi kinywani maana ubunge chali! mwacheni ajitafutie riziki.
Kweli Lema Jembe yaan siyo mbunge wa DSM lakini anaweza kuvuta watu wengi hivi?Magamba Kaeni chini mjiulize kwanini?
Kule mtwara hata ugomvi wa kuku watu wanajaa?Hivi unapajua Manzese Bakharesa? Yaani apo ndio huwa kuna ubishi wa dini kila siku, kwa taarifa yako apo hata ugomvi wa Kuku watu wanajaa.
Kiwanja cha Mrema hicho kila akifanya mkutano watu wanajaa.
Asipozunguka mitaani mkono hauendi kinywani maana ubunge chali! mwacheni ajitafutie riziki.
tena mwambie walienda kwa gharama zao akuna kosa walilo fanya ccm kama kumuweka lema benchi saa hii analuka na chopa kusambaza sumuNilitaka kushangaa usizungumze ila Jibu Hoja......Lema pekee yake tu shazi bila promo bila kuwarubuni watu wamejaaa!ebu jaribuni na nyinyi.Pigeni kelele Lema Anasonga
Crashwise maneno yako hayo yanaweza kuifanya mahakama inayokuwa remote controlled na magamba wamrudishie ubunge haraka arudi Arusha maana hii zunguka yake nchi nzima inamaliza ngome chache za magamba zilizosali!!Na bado ana mwezi wa kuwepo hapo dar sijui nape ana ratiba.