KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Vip amekusanya sadaka yake hapo kwa maskini wa manzese
zile mlizowapa kwanini nyie hamkusanyi?au matajiri?
Vip amekusanya sadaka yake hapo kwa maskini wa manzese
mwongo na tapeli tu huyo mkusanya sadaka isiyokuwa na hesabu ya matumizi
Si mulisema Dar ina wenyewe?(ccm) sasa tulieni mnyolewe taratiiiiibu....kawaite na wenzakomwongo na tapeli tu huyo mkusanya sadaka isiyokuwa na hesabu ya matumizi
mwongo na tapeli tu huyo mkusanya sadaka isiyokuwa na hesabu ya matumizi[/kakusanye na wewe kama utapata unafikiri watu wanatoa tu kwa sababu wanayo ela? Wanatoa kwa sababu tumaini lao pekee ni chadema!
Asipozunguka mitaani mkono hauendi kinywani maana ubunge chali! mwacheni ajitafutie riziki.
wewe punguanimwongo na tapeli tu huyo mkusanya sadaka isiyokuwa na hesabu ya matumizi
mwongo na tapeli tu huyo mkusanya sadaka isiyokuwa na hesabu ya matumizi
Amwambie Nepi ajaribu kukusanya sadaka aoe kama atafikisha hata buku....mwongo na tapeli tu huyo mkusanya sadaka isiyokuwa na hesabu ya matumizi[/kakusanye na wewe kama utapata unafikiri watu wanatoa tu kwa sababu wanayo ela? Wanatoa kwa sababu tumaini lao pekee ni chadema!
Vip amekusanya sadaka yake hapo kwa maskini wa manzese
Amwambie Nepi ajaribu kukusanya sadaka aoe kama atafikisha hata buku....
endeleeni na siasa za chooni sisi tunajenga chama, mziki mtaanza kuuona 2014 na 2015 ni kiama chenu...washikaji waliokaa hapo juu wanajadili jinsi ya kutumia Sadaka kwa ajili ya Pombe, Mvinyo na madem jioni ya leo hapo Rombo Bar nitakuwa hapokuwajuza
washikaji waliokaa hapo juu wanajadili jinsi ya kutumia Sadaka kwa ajili ya Pombe, Mvinyo na madem jioni ya leo hapo Rombo Bar nitakuwa hapokuwajuza
Nashangaa wale waliosema dar ni yao! Hao hawajaletwa kwa malori wala kuahidiwa elfu 5! Kama bado wanawaza hivyo hawana tofauti na aliyekuwa waziri wa habari wa Iraq enzi za Sadam!
washikaji waliokaa hapo juu wanajadili jinsi ya kutumia Sadaka kwa ajili ya Pombe, Mvinyo na madem jioni ya leo hapo Rombo Bar nitakuwa hapokuwajuza
Kumbe nyie magamba huwa mnafanya siasa kwasababu ya njaa zenu. Afadhali umeropoka maana umetusaidia kujua nia ya Chama Cha Magamba katika kufanya siasa. Tatizo ni kwamba mnafikiri kila anayefanya siasa basi ni kwasababu ya njaa. Hii inaonyesha fikra zenu zote ni juu ya tumbo na wala si uzalendo.Asipozunguka mitaani mkono hauendi kinywani maana ubunge chali! mwacheni ajitafutie riziki.