Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
Asipozunguka mitaani mkono hauendi kinywani maana ubunge chali! mwacheni ajitafutie riziki.[/WE NAWE UNAKERA SANA KAMA VIP JOIN THEM?
Asipozunguka mitaani mkono hauendi kinywani maana ubunge chali! mwacheni ajitafutie riziki.
Asipozunguka mitaani mkono hauendi kinywani maana ubunge chali! mwacheni ajitafutie riziki.
Ritz lazima atakuwa amejivua gamba...
Nashangaa wale waliosema dar ni yao! Hao hawajaletwa kwa malori wala kuahidiwa elfu 5! Kama bado wanawaza hivyo hawana tofauti na aliyekuwa waziri wa habari wa Iraq enzi za Sadam!
Ritz lazima atakuwa amejivua gamba...
Unajua alianza lini kuwatesa hapa Arusha...Asipozunguka mitaani mkono hauendi kinywani maana ubunge chali! mwacheni ajitafutie riziki.
CCM wanamwona Kamanda Lema kama pasua kichwa.
Asipozunguka mitaani mkono hauendi kinywani maana ubunge chali! mwacheni ajitafutie riziki.
mwongo na tapeli tu huyo mkusanya sadaka isiyokuwa na hesabu ya matumiziCCM wanamwona Kamanda Lema kama pasua kichwa.