Lema Aunguruma Manzese,Dar

Plato

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
420
94
SAM_2875.JPG

SAM_2871.JPG

SAM_2873.JPG

Jioni ya leo
Picha zaidi www.mjengwablog.com
 
Asipozunguka mitaani mkono hauendi kinywani maana ubunge chali! mwacheni ajitafutie riziki.

Nilitaka kushangaa usizungumze ila Jibu Hoja......Lema pekee yake tu shazi bila promo bila kuwarubuni watu wamejaaa!ebu jaribuni na nyinyi.Pigeni kelele Lema Anasonga
 
Nashangaa wale waliosema dar ni yao! Hao hawajaletwa kwa malori wala kuahidiwa elfu 5! Kama bado wanawaza hivyo hawana tofauti na aliyekuwa waziri wa habari wa Iraq enzi za Sadam!
 
Nashangaa wale waliosema dar ni yao! Hao hawajaletwa kwa malori wala kuahidiwa elfu 5! Kama bado wanawaza hivyo hawana tofauti na aliyekuwa waziri wa habari wa Iraq enzi za Sadam!

Na bado ana mwezi wa kuwepo hapo dar sijui nape ana ratiba.
 
Huyo ndiyo Lema....ukisikia mwingine ujue fake.
Tulianza na mungu na tutamaliza na mungu!
 
Back
Top Bottom