Lema ataja Mawaziri ‘wazito’ wanaoenda CHADEMA

KUna watu wengine ni tatizo tu; sijui kwanini wanafikiria waatu wanahitaji kujua majina ya mawaziri; sasa hao watu waliotajwa (japo hawajatajwa) wakisema hawakuomba hivyo itakuwaje? Hata kama wlaikuwa na mpango ina maana hawa kina Lema hawana hekima kabisa ya kujua nini vya kusema na nini vya kutokusema?

MM hata mimi tangu niliposikia hizi habari kwenye kipindi cha magazeti saa 1:15 asubuhi zimenipa shida sana. Ni kwa ridhaa ya nani Lema anatamka haya majina? kama atakuwa hajaruhusiwa na Chama kufanya hivi basi Lema atakuwa amekosa hekima. Kwa staili ya kutangaza hivi itakuwa ni kama kuwaumbua na itarudisha nyuma operation Vua gamba vaa Gwanda.
 
MVUMBUZI hz habari zisikupe shida sana,ukombozi ni haupatikani hivhv na inawezekana wamekaa wamekubaliana kwamba lema atamke, mi binafs sioni kama kunatatizo tunaitaji wapambanaji ambao wapo wazi
 
Last edited by a moderator:
Mimi sioni shida ya hao vigogo wanaodaiwa kuhama kutajwa. Kama kweli wameomba kujiunga na chadema basi hakuna shida kutajwa kama hawakuomba wakanushe....tatizo hapa ni kwamba viongozi wengi wa ccm wanajijali binafsi maana huwezi kutamani kuwa upinzani wakati uko ccm au huwezi kuiponda ccm ilhali hutaki kuiama kwa maneno mengine ni kwamba huwezi kula keki yako na bado ukabaki nayo....
 
Mimi sioni shida ya hao vigogo wanaodaiwa kuhama kutajwa. Kama kweli wameomba kujiunga na chadema basi hakuna shida kutajwa kama hawakuomba wakanushe....tatizo hapa ni kwamba viongozi wengi wa ccm wanajijali binafsi maana huwezi kutamani kuwa upinzani wakati uko ccm au huwezi kuiponda ccm ilhali hutaki kuiama kwa maneno mengine ni kwamba huwezi kula keki yako na bado ukabaki nayo....
 
KUna watu wengine ni tatizo tu; sijui kwanini wanafikiria waatu wanahitaji kujua majina ya mawaziri; sasa hao watu waliotajwa (japo hawajatajwa) wakisema hawakuomba hivyo itakuwaje? Hata kama wlaikuwa na mpango ina maana hawa kina Lema hawana hekima kabisa ya kujua nini vya kusema na nini vya kutokusema?

hayo MKJJ ni mawazo ya kichawi uliyonayo! Lema was ryt kwani hii ni vita na tunataka wapambanaji walio tayari kwa mapambano ya wzi na sio kujificha chumbani eti wakisubiria mwishon kabisa 2014 ndo wajiunge ili baada ya hapo wapate madaraka kirahisi kupitia CDM, pia hayo maswala ya suplies sisi hatutaki isije tukapata wahamiaji wabovu na manazi wa kisiasa kama shibuda. Pia hatutaki ikawa kama kipindi kile cha kuanzisha ccj alafu wakampiga chini mwenzao mpendazoe kwa unafiki wa kufanya mambo kificho.
 
this is a psychological battle,by mentioning the names u divide and frustrate yor enemies,u break the trust among them,though it's not fair for perpetrators if they asked for anonymity...
 
tatizo la chadema ni attention seekers...wanataka kila siku wawe kwenye headlines...wenzio ccm wako kimya headlines zao zitaanza 2014..chadema wataishiwa na nguvu ikifika 2014 kama wasipoangalia vizuri

Hizo ni mbinu za simba / Yanga maandalizi siku moja kabla ya mechi mara zote huchezea kichapo tu
 
Kuwa kimya ni hekima sana kuliko kusema, na ukitaka kusema basi utumie hekima zaidi. Chadema mnaanza kutupoteza. Acheni kulewa umaarufu mkiifikiri mmefika. You still have long journey to travel. Wanachama, wapenzi na hasa VIONGOZI wa chadema mfike mahali sasa muache kuropoka kwenye vyombo vya habari. Kuongea ongea siyo sifa, ulimi si mzuri sana iwapo hautatumika vizuri. Lema unafanya kazi nzuri lakini hili la kuwataja mawaziri WAS NOT PROPER hata kama ni propaganda. Tanzania kwa sasa ina wachambuzi wa mambo na Chadema mkienda hivi HAKI YA MUNGU tutawapiga chini. Jifunzeni kuwa kimya, siyo KILA KITU CHA KUJIBU NA WALA SIYO KILA KITU CHA KUSEMA. BAVICHA msijionyeshe pia na ninyi mnajua. Suala la Shibudu ninyi mnajua ni mropokaji, kumjibu ndio mnaonekana ninyi hamna akili. Achaneni nae. WanaJ msiumizwe kwa maneno yangu, nina machungu na mambo haya yanavyokwenda. Wanachadema tujifunze kwa Mzee wetu Slaa-He is a SILENT killer and he kills STRATEGICALLY.

Nawasilisha.
 
Bado sijaelewa busara inayotumiwa na CHADEMA kuhusu mawaziri wa ccm wanaotaka kuhama. CHADEMA wanafaidi nini kwa kuwataja especially sasa wakati tuna miaka 2 na ushee kabla ya uchaguzi mkuu? Sijaipenda kabisa hii move.

kwani hao mawaziri wanahama ili iweje? Kwanini wasuburi kuhama baada ya kumaliza uwaziri? Mtu mwenye nia ya kweli ya ukombozi wa hii nchi hafanyi mambo kwa kificho. Hizo ni siasa za kinafiki tu wanatafuta namna ya kurudi bungeni kirahisi tu. Kama kweli wana nia ya kulikomboa taifa hili kutoka kwenye makucha ya mafisadi watoke sasa wakiwa mawaziri kama alivyofanya A L Mrema. Sio kutuletea vichekesho vya CCJ.

Basically CHADEMA haihitaji ujio wao ili kushinda ila wao wanaihitaji chadema ili washinde. Ndani ya Chadema kuna watu kibao wanaoweza kuwa wabunge na mawaziri. Mimi natamani wasije ili chadema iweze kuinua watanzania wapya kabisa kuleta ukombozi wa hii nchi. Tabia zao za ki CCM haziwezi kubadilika wakiwa CHADEMA; sana sana watawaharibu hao wasafi wa CHADEMA nao wawe kama wao. NASEMA TENA WE DONT NEED THEM AND WHEN THEY SAY THEY WANT TO JOIN US TUTAWAWEKA HADHARANI ILI HUKO WALIKO WAJUE HAO WAENZAO HAWAPO PAMOJA NAO.
 
kimtazamo CHADEMA yaweza kuwa mtaji wa mafanikio ya CCM kwa mwaka 2015,if you read between lines hawa mamluki wa CCM wanaohamia wataleta mgogoro mkubwa ambao ni utaisamabaratisha CDM na kuipa chati CCM.
 
And that is the reason why, i don't read Tanzanian Newspapers the 2nd year running..and i don't see any problem with it..blah blah tuu..
 
KUna watu wengine ni tatizo tu; sijui kwanini wanafikiria waatu wanahitaji kujua majina ya mawaziri; sasa hao watu waliotajwa (japo hawajatajwa) wakisema hawakuomba hivyo itakuwaje? Hata kama wlaikuwa na mpango ina maana hawa kina Lema hawana hekima kabisa ya kujua nini vya kusema na nini vya kutokusema?

kuna wana CDM addicted wanamuita Lema eti kichwa!!! ama kweli zezeta mbele ya vichaa ni genius! no wonder is no longer MP!
 
Unajua ktk maswala ya kiimani wapo watu ambao wamebadilisha dini kutokana na matamanio yao binafsi ya kindoa. Hawa watu kidunia hawana matatizo maana wanayafanya walitakalo isipokuwa kurudhisha nafsi zao lakini kiimani hujidanganya wenyewe. Hivyo sii kazi ya Chadema kuwachagua watu wanotaka kujiunga na chama na wala kisheria hawatakiwi kumkataa mtu anayetaka kujiunga na chama, isipokuwa chama kinapowapa uongozi watu hawa wasiokuwa na imani ya kiitikadi na chama. Watu ambao wamejiunga ili kuridhisha nafsi na matamanio yao hapo ndipo Chadema inapoboronga.

Hili ni swala la viongozi wa Chadema kulitazama vizuri sana maana vipo vyama 18, kwa nini wajiunge Chadema na kutegemea wapewe uongozi ama kugombea ubunge ikiwa sii maslah binafsi na Unafiki kwa chama? Binafsi yangu naanza kuingiwa na mashaka makubwa sana na mwelekeo wa Chadema hasa inapohusu watu wanaokimbia CCM baada ya kuenguliwa na chama hicho.

Na kama haya yasemwayo ni kweli bora Chadema itangaze mapema majina ya hawa watu wanaotaka kujiunga na Chadema ili wenyeji tupate kuandaa chumba cha wageni, laa sivyo tutasambaratika kiimani. Na kama kuna ukweli wowote wa EL kuhamia Chadema basi wahesabu kupoteza wanachama walokipenda chama hiki bila kuwepo kwa watu hawa. Nachoweza kusema kama kweli EL ni muhimu kiasi hicho, anapendwa kiasi hicho basi aanzishe chama chake na hakika wapo wengi watamfuata bila shaka.
 
Updates
rldJL3e1y+zufWS6J5RfOgXb3Uq183QAAAABJRU5ErkJggg==
Lowassa, sitta na mwakyembe kuhamia cdm: Lema Source-Chiume wa JF


[/QUOTE]

katika hao ni nani kakataliwa na nani kakubaliwa leteni habari kamili kamili
 
KUna watu wengine ni tatizo tu; sijui kwanini wanafikiria waatu wanahitaji kujua majina ya mawaziri; sasa hao watu waliotajwa (japo hawajatajwa) wakisema hawakuomba hivyo itakuwaje? Hata kama wlaikuwa na mpango ina maana hawa kina Lema hawana hekima kabisa ya kujua nini vya kusema na nini vya kutokusema?

Sijui kwa nini CHADEMA wanafikiri habari ya "vigogo" wa CCM kutaka kuhamia katika chama chao ni habari njema sana? Hii inaudhi sana. Sisi tunataka kujua jinsi CHADEMA itakavyobadilisha siasa na mfumo wa uongozi wa nchi toka kwenye ujinga unaoendelea hivi sasa, wao wanahangaika na watafuta fursa binafsi (individual opportunists) wa CCM? Kweli kuna mabadiliko hapo? Au nao wanataka kugeuka kuwa chama cha ulaji tu! tangu lini mawaziri walioko kwenye serikali ya CCM leo hii wakawa mtaji wa kumkomboa mtanzania? Naona sasa ukweli kuhusu ufinyu (shallowness) wa wanasiasa wa CHADEMA unaanza kujidhirisha kidogokidogo.
 
Ok sasa wakija huko CDM na wakiutaka Uraisi kama Mh Shibuda itakuwaje?

...Watatengwa na haraka sana Bavicha watatoa tamko zito la kuwaonya na kuomba chama kiwavue uanachama, na sioni kama watakuwa tayari kuishi kwenye utumwa wa kupelekeshwa kama watoto watoto wadogo ndani ya chadema..

....Tukumbuke pia kwa CV za hawa watu ukilinganisha na wengine waliopo Chadema, hawa cheo pekee watakachogombea ndani ya Chadema ni uraisi tu, no less...
 
Back
Top Bottom